BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 324
- 414
ZIARA YA MWENEZI SHAKA HAMDU SHAKA KATIKA VYOMBO VYA HABARI VYA ZANZIBAR ASUBUHI HII.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Leo Jumatano Julai 13, 2022 kuanzia asubuhi hii atatembelea katika Vyombo vya Habari vya Zanzibar kwa kuanza na Shirika la Magazeti (ZANZIBAR LEO), Bahari FM Redio, Zenji FM Redio, Mwenge FM, Sunet TV pamoja na ZBC TV na REDIO.
#Tutawafuatakokote
#KaziIendelee
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Leo Jumatano Julai 13, 2022 kuanzia asubuhi hii atatembelea katika Vyombo vya Habari vya Zanzibar kwa kuanza na Shirika la Magazeti (ZANZIBAR LEO), Bahari FM Redio, Zenji FM Redio, Mwenge FM, Sunet TV pamoja na ZBC TV na REDIO.
#Tutawafuatakokote
#KaziIendelee