Ziara ya Mh Pinda Mbeya, Too little and almost too late!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171
Nimefuatilia kwa makini ziara ya Waziri Mkuu Mkoani Mbeya katika siku za karibuni.
Mkoa wa Mbeya viongozi wengi wa kitaifa wamekuwa wakiukwepa kiziara kwa muda mrefu, na hata wakienda ni kama kutimiza tu wajibu.
Sijui ni muendelezao wa mivutano ya kinyag'anyiro cha urais wa mwaka 2005 au vipi, lakini kwa wananchi wa mkoa huo we have felt the void.

Pamoja na hayo uwekezaji wa mashirika na idara za serikali mkoani hapo umekuwa mdogo sana kulinganisha na position ya mkoa kijiografia na kibiashara.
Mashirika kama NSSF. PSPF na mengine yanayofanya uwekezaji wa kutisha mikoa kama Mwanza na kwingineko, yameukwepa kabisa Mkoa wa Mbeya.

Hata ile miradi iliyoanzwa imechukua muda mrefu sana , ikiwa ni kielelezo cha kusua sua kwa serikali kupeleka uwekezaji wake huko.
Songwe Airport(Kilometa tatu za runway) imechukua miaka karibu kumi kujenga!!!!!
Mradi wa soko umesua sua miaka sasa.
Barabara ya Chunya ndio hivyo nayo ingalau sasainakwenda lakini imesua sua mno.

Huko kwetu Rungwe/Kyela pamoja na kilio cha barabara hakuna seriousness yoyote katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya barabara, tunahisi kipaumbele ni baarabara hasa za kanda ya ziwa!!!!

Leo hii hata aakija kutembelea Rais mkoani hakuna mradi wowote wa maana wa kuufungua au kuweka jiwe la msingi!!!.
Miradi midogo midogo inayoonekana ni ya wajasiriamali, na mingi si endelevu.

Ombwe hili limekuwa felt kiasi kwamba hata vijana wa leo hawaijui tena CCM.

Pengine utawala uliopo ukifikiria unamkomoa mtu fulani, lakini kwa kweli kizazi kizima ndani ya hii miaka kumi kimeathirika kwa kukosa maendeleleo yanayostahili.
Nisingelaumu mtu, lakini come 2015, CCM itavuna ilichopanda, hasa kwa kuona ukweli kuwa mkoa wa Mbeya ulikuwa one of the staunchest suppoerters wa CCM

Ndio maana nasema , hizi ziara kama za Mh Pinda zinakuja sasa wakati its too late, and they can do too little to change the winds!!!

UPDATE

Kumekuwapo na ziara nyingi sasa hivi za waheshimiwa mkoani Mbeya kuajiribu kurudisha mwamko wa kuirudisha CCM katika umaarufu wa awali katika siku za hivi karibuni.
Pamoja na Ziara ya Mh Pinda, naibu Waziri Makalla ametembelea huko kuona maswala ya Maji, Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji nayo imepita.
Na leo 2/4/2015 ,Mzee Mzima Bulldoza Stephen Wassira yuko mkoani.
 
kwakweli umenena kijana huu mkoa wao walidhani wanawakomoa watu wa Mbeya ila wasishangae 2015 wakiambulia 0 maana ndo mbegu walizopanda. pia wasijifanye hawawajui watu wa Mbeya ni watu makini na hawawez kufanya makosa
 
Nimefuatilia kwa makini ziara ya Waziri Mkuu Mkoani Mbeya katika siku za karibuni.
Moa wa Mbeya viongozi wengi wa kitaifa wamekuwa wakiukwepa kiziara kwa muda mrefu, na hata wakienda ni kama kutimiza tu wajibu.
Sijui ni muendelezao wa mivutano ya kinyag'anyiro cha urais wa mwaka 2005 au vipi, lakini kwa wananchi wa mkoa huo we have felt the void.

Pamoja na hayo uwekezaji wa mashirika na idara za serikali mkoani hapo umekuwa mdogo sana kulinganisha na position ya mkoa kijiografia na kibiashara.

Hata ile miradi iliyoanzwa imechukua muda mrefu sana , ikiwa ni kielelezo cha kusua sua kwa serikali kupeleka uwekezaji wake huko.
Songwe Airport(Kilometa tatu za runway) imechukua miaka karibu kumi kujenga!!!!!
Mradi wa soko umesua sua miaka sasa.
Barabara ya Chunya ndio hivyo nayo ingalau sasainakwenda lakini imesua sua mno.

Huko kwetu Rungwe/Kyela pamoja na kilio cha barabara hakuna seriousness yoyote katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya barabara, tunahisi kipaumbele ni baarabara hasa za kanda ya ziwa!!!!

Leo hii hata aakija kutembelea Rais mkoani hakuna mradi wowote wa maan wa kuufungua au kuweka jiwe la msingi!!!.
Miradi midogo midogo inayoonekana ni ya wajasiriamali, na mingi si endelevu.

Ombwe hili limekuwa felt kiasi kwamba hata vijana wa leo hawaijui tena CCM.

Pengine utawala uliopo ukifikiria unamkomoa mtu fulani, lakini kwa kweli kizazi kizima ndani ya hii miaka kumi kimeathirika kwa kukosa maendeleleo yanayostahili.
Nisingelaumu mtu, lakini come 2015, CCM itavuna ilichopanda, hasa kwa kuona ukweli kuwa mkoa wa Mbeya ulikuwa one of the staunchest suppoerters wa CCM

Ndio maana nasema , hizi ziara kama za Mh Pinda zinakuja sasa wakati its too late, and they can do too little to change the winds!!!

Masopakyindi,hapo umenena ndugu yangu.Umesema ukweli mtupu. Siku moja Kikwete alikuja Mwakaleli kiwanda cha chai,akaahidi kujenga barabara ya lami toka Katumba hadi Lwangwa kupitia Isange lakini hadi leo hata dalili hakuna. Halafu ccm watakuja kuomba tena kura za wanyakyusa waliodanganywa. Thubutu,wanyakyusa ninaowajua wana misimamo yao.Hawapendi kuonewa. Hebu tujiulize pamoja na ccm kuwa na sera ya kujenga miundo mbinu ya barabara nchi nzima; ni barabara ya lami ipi imejengwa wilaya ya Rungwe na Kyela tangu Kikwete aingie madarakani miaka 10 iliyopita?
 
Nimefuatilia kwa makini ziara ya Waziri Mkuu Mkoani Mbeya katika siku za karibuni.
Moa wa Mbeya viongozi wengi wa kitaifa wamekuwa wakiukwepa kiziara kwa muda mrefu, na hata wakienda ni kama kutimiza tu wajibu.
Sijui ni muendelezao wa mivutano ya kinyag'anyiro cha urais wa mwaka 2005 au vipi, lakini kwa wananchi wa mkoa huo we have felt the void.

Pamoja na hayo uwekezaji wa mashirika na idara za serikali mkoani hapo umekuwa mdogo sana kulinganisha na position ya mkoa kijiografia na kibiashara.

Hata ile miradi iliyoanzwa imechukua muda mrefu sana , ikiwa ni kielelezo cha kusua sua kwa serikali kupeleka uwekezaji wake huko.
Songwe Airport(Kilometa tatu za runway) imechukua miaka karibu kumi kujenga!!!!!
Mradi wa soko umesua sua miaka sasa.
Barabara ya Chunya ndio hivyo nayo ingalau sasainakwenda lakini imesua sua mno.

Huko kwetu Rungwe/Kyela pamoja na kilio cha barabara hakuna seriousness yoyote katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya barabara, tunahisi kipaumbele ni baarabara hasa za kanda ya ziwa!!!!

Leo hii hata aakija kutembelea Rais mkoani hakuna mradi wowote wa maan wa kuufungua au kuweka jiwe la msingi!!!.
Miradi midogo midogo inayoonekana ni ya wajasiriamali, na mingi si endelevu.

Ombwe hili limekuwa felt kiasi kwamba hata vijana wa leo hawaijui tena CCM.

Pengine utawala uliopo ukifikiria unamkomoa mtu fulani, lakini kwa kweli kizazi kizima ndani ya hii miaka kumi kimeathirika kwa kukosa maendeleleo yanayostahili.
Nisingelaumu mtu, lakini come 2015, CCM itavuna ilichopanda, hasa kwa kuona ukweli kuwa mkoa wa Mbeya ulikuwa one of the staunchest suppoerters wa CCM

Ndio maana nasema , hizi ziara kama za Mh Pinda zinakuja sasa wakati its too late, and they can do too little to change the winds!!!

Pole mwanakwetu.Twafa huku Mbeya basi tu hatuna cha kufanya.Lakini Mdogo wangu umewaona VIONGOZI wako waCCM wanavyotamba na vile vijisent vya ESCROW?

Je umekubaliana nao ile JEURI wanaoionyesha kwetu wadanganyika?Hivi kwa sasa siyo wakati muafaka wa kusema CCM basi?Hebu tusaidiane kufikiri hili..............
 
Unazungumzia barabara gani mkuu.
Kuna barabara ya Katumba, Lwangwa, Masoko hadi Tukuyu.
Barabara hii umekuwa wimbo wa kujipatia kura tu kwa kila anayetembelea Mbeya.
Ingalau barabara za Mpemba kwenda Isongole inafayiwa kazi, na hata zile barabara za Millenium Challenge nazo vile vile.
 
Masopakyindi,hapo umenena ndugu yangu.Umesema ukweli mtupu. Siku moja Kikwete alikuja Mwakaleli kiwanda cha chai,akaahidi kujenga barabara ya lami toka Katumba hadi Lwangwa kupitia Isange lakini hadi leo hata dalili hakuna. Halafu ccm watakuja kuomba tena kura za wanyakyusa waliodanganywa. Thubutu,wanyakyusa ninaowajua wana misimamo yao.Hawapendi kuonewa. Hebu tujiulize pamoja na ccm kuwa na sera ya kujenga miundo mbinu ya barabara nchi nzima; ni barabara ya lami ipi imejengwa wilaya ya Rungwe na Kyela tangu Kikwete aingie madarakani miaka 10 iliyopita?

Ndio kilio changu ndugu yangu.
Barabara ndio msingi wa maendeleo, kimsingi ni kama wilaya zetu hizi zimehujumiwa kimaendeleo.
 
Nimefuatilia kwa makini ziara ya Waziri Mkuu Mkoani Mbeya katika siku za karibuni.
Mkoa wa Mbeya viongozi wengi wa kitaifa wamekuwa wakiukwepa kiziara kwa muda mrefu, na hata wakienda ni kama kutimiza tu wajibu.
Sijui ni muendelezao wa mivutano ya kinyag'anyiro cha urais wa mwaka 2005 au vipi, lakini kwa wananchi wa mkoa huo we have felt the void.

Pamoja na hayo uwekezaji wa mashirika na idara za serikali mkoani hapo umekuwa mdogo sana kulinganisha na position ya mkoa kijiografia na kibiashara.
Mashirika kama NSSF. PSPF na mengine yanayofanya uwekezaji wa kutisha mikoa kama Mwanza na kwingineko, yameukwepa kabisa Mkoa wa Mbeya.

Hata ile miradi iliyoanzwa imechukua muda mrefu sana , ikiwa ni kielelezo cha kusua sua kwa serikali kupeleka uwekezaji wake huko.
Songwe Airport(Kilometa tatu za runway) imechukua miaka karibu kumi kujenga!!!!!
Mradi wa soko umesua sua miaka sasa.
Barabara ya Chunya ndio hivyo nayo ingalau sasainakwenda lakini imesua sua mno.

Huko kwetu Rungwe/Kyela pamoja na kilio cha barabara hakuna seriousness yoyote katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya barabara, tunahisi kipaumbele ni baarabara hasa za kanda ya ziwa!!!!

Leo hii hata aakija kutembelea Rais mkoani hakuna mradi wowote wa maana wa kuufungua au kuweka jiwe la msingi!!!.
Miradi midogo midogo inayoonekana ni ya wajasiriamali, na mingi si endelevu.

Ombwe hili limekuwa felt kiasi kwamba hata vijana wa leo hawaijui tena CCM.

Pengine utawala uliopo ukifikiria unamkomoa mtu fulani, lakini kwa kweli kizazi kizima ndani ya hii miaka kumi kimeathirika kwa kukosa maendeleleo yanayostahili.
Nisingelaumu mtu, lakini come 2015, CCM itavuna ilichopanda, hasa kwa kuona ukweli kuwa mkoa wa Mbeya ulikuwa one of the staunchest suppoerters wa CCM

Ndio maana nasema , hizi ziara kama za Mh Pinda zinakuja sasa wakati its too late, and they can do too little to change the winds!!!

mwenye asili ya uwongo utamuona mada zake za kuokotaokota
 
nimefuatilia kwa makini ziara ya waziri mkuu mkoani mbeya katika siku za karibuni.
Mkoa wa mbeya viongozi wengi wa kitaifa wamekuwa wakiukwepa kiziara kwa muda mrefu, na hata wakienda ni kama kutimiza tu wajibu.
Sijui ni muendelezao wa mivutano ya kinyag'anyiro cha urais wa mwaka 2005 au vipi, lakini kwa wananchi wa mkoa huo we have felt the void.

Pamoja na hayo uwekezaji wa mashirika na idara za serikali mkoani hapo umekuwa mdogo sana kulinganisha na position ya mkoa kijiografia na kibiashara.
Mashirika kama nssf. Pspf na mengine yanayofanya uwekezaji wa kutisha mikoa kama mwanza na kwingineko, yameukwepa kabisa mkoa wa mbeya.

Hata ile miradi iliyoanzwa imechukua muda mrefu sana , ikiwa ni kielelezo cha kusua sua kwa serikali kupeleka uwekezaji wake huko.
Songwe airport(kilometa tatu za runway) imechukua miaka karibu kumi kujenga!!!!!
Mradi wa soko umesua sua miaka sasa.
Barabara ya chunya ndio hivyo nayo ingalau sasainakwenda lakini imesua sua mno.

Huko kwetu rungwe/kyela pamoja na kilio cha barabara hakuna seriousness yoyote katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya barabara, tunahisi kipaumbele ni baarabara hasa za kanda ya ziwa!!!!

Leo hii hata aakija kutembelea rais mkoani hakuna mradi wowote wa maana wa kuufungua au kuweka jiwe la msingi!!!.
Miradi midogo midogo inayoonekana ni ya wajasiriamali, na mingi si endelevu.

Ombwe hili limekuwa felt kiasi kwamba hata vijana wa leo hawaijui tena ccm.

Pengine utawala uliopo ukifikiria unamkomoa mtu fulani, lakini kwa kweli kizazi kizima ndani ya hii miaka kumi kimeathirika kwa kukosa maendeleleo yanayostahili.
Nisingelaumu mtu, lakini come 2015, ccm itavuna ilichopanda, hasa kwa kuona ukweli kuwa mkoa wa mbeya ulikuwa one of the staunchest suppoerters wa ccm

ndio maana nasema , hizi ziara kama za mh pinda zinakuja sasa wakati its too late, and they can do too little to change the winds!!!

usilete siasa za ukabila hapa
 
Barabara ya Katumba - Mwakaleli imeanza kujengwa kwenye section ya Lupaso - Bujesi (10 km) mchina yuko site! barabara ya Kikusya - Matema wameamua kuijenga yote, kuanzia Tenende mpaka Matema, tender ya civil works ilifungwa november 2014 kwahyo itaanza kujengwa mwaka huu, barabara ya chunya almost imekamilika, for the first time naliona soko la Mwanjelwa likielekea kukamilika! haya yote yanafanyika mwaka 2015! serikali yako ya CCM ni mabingwa wa mind games! watashinda majimbo mengi na kututelekeza tena mpaka mwaka 2025
 
Back
Top Bottom