Ziara ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa mkoa wa Mara (Serengeti,Tarime)

gimanini

JF-Expert Member
Jun 20, 2015
1,741
1,753
Hatimaye zamu ya mkoa wa Mara kwa mgombea urais wa JMT, mhe. Edward Lowassa, imefika. Atakuwa akianza mikutano ya Kampeni zake leo.

Maandilizi makubwa yanamsubiri wilayani Tarime kiongozi atakayefanya mikutano mjini hapa majira ya jioni ya leo.

Alipo tupo na tunamkaribisha rais wetu huku.

TARIME
Tangu uumbaji wa Dunia haijawahi kutokea kwa umati huu wa watu katika mji huu wa tarime vijijini, Nyamongo.

Kwanza umati uliomsindikiza mgombea mpaka uwanjani naulinganisha na ule wa Dar uliomsindikiza Lowassa kuchukua fom NEC

Picha hizo nimepiga nikiwa katikati ya uwanja..pia mtandao unasumbuaa sanaa...

Huku tunaisubiri october 25th

View attachment 297130View attachment 297131

SERENGETI
Haya sio mafuriko, sio gharika, sio tsunami na wala sio garamnasi.

No comment. I am speechless... Tukutane 25.10.2015

View attachment 297129
1.jpg 2.jpg 3.jpg 4.jpg 5.jpg
 
Watu wa mara wanafanana na watu wa Togo au Senegali sasa tutashuhudia picha za mafuriko kutoka Togo au Senegali
 
Hatimaye siku iliyosubiriwa na wengi hapa mjini Tarime imefika, kwani mgombea urais wa JMT, mh. Edward Lowassa, leo atatua kwenye ardhi ya nchi ya wanamabadiliko Tarime, kwa kufanya mikutano katika miji ya Nyamongo na baadae majira ya saa 10 jioni itakuwa zamu ya Tarime Mjini.

Watu wamekesha usiku mzima wakiimba na kucheza, huku wengi wao wakisema wamemsubiri siku nyingi. Mkutano utafanyika katika viwanja vya Serengeti, maarufu kama shamba la bibi.

Tutaendelea kuwapasha kinachojiri kataka eneo la tukio.
 
watu wa mara ilikua zamani bana,,,,hawataki mchezo mchezo,sikuhizi usishangae unakuta wanamnyenyekea mtu kama wamama hata kama si msafi....
 
siku hizi unakuta mkulya anapiga umbea,,,au yuko MMU,,,,,,ha ha ha, unadhani kweli wanashindwa kumyenyekea fisadi?.....
maisha yamebadilika sana asee...
 
Sijaelewa!
Watu wa mara wanafanana na watu wa Togo au Senegali sasa tutashuhudia picha za mafuriko kutoka Togo au Senegali
Hao watu wa Togo na Senegal wakoje kuonesha wanashabihiana na wa musoma?
 
Back
Top Bottom