Zamazangu
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 789
- 408
Mbunge wa Jimbo la Ndanda Chadema Cecil David Mwambe, ametembelea kata za Lukuledi na Chiwata ambako alishirikiana na wananchi ktk Ujenzi wa Zahanati. Ziara hii imekuwa na mafanikio makubwa ktk kutekeleza ahadi zake kwa wananchi huku akishiriki yy mwenyewe ktk shughuli hizo.
Kata zingine ambazo zimepewa miradi ya ujenzi wa zahanani kupitia mfuko wa jimbo ni pamoja na Kata ya Ndanda, Mwena, Chikukwe Chikundi, Mpanyani, na Chiroro.
Mwitikio wa wananchi katika kichangia ngici zao ni mkubwa, tunamuombea kila la kheri Mwambe na Wabunge wote wanaojitambua na wako tayari kutatua kero za wananchi waliowapa ridhaa ya kuwa viongozi. big up
Kata zingine ambazo zimepewa miradi ya ujenzi wa zahanani kupitia mfuko wa jimbo ni pamoja na Kata ya Ndanda, Mwena, Chikukwe Chikundi, Mpanyani, na Chiroro.
Mwitikio wa wananchi katika kichangia ngici zao ni mkubwa, tunamuombea kila la kheri Mwambe na Wabunge wote wanaojitambua na wako tayari kutatua kero za wananchi waliowapa ridhaa ya kuwa viongozi. big up