thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Hata Yesu alipingwaAmeteua mawaziri 8 kwenda mikoani kutatua kero za wananchi. Mbona hawa mawaziri kina Jafo na Lukuvi wametembea sana mikoani? Naifananisha ziara hii na ile ya Kinana na Nape iliyoibua mawaziri mizigo, sijui ilikuwa mizigo kwa nani.
Leo huyu kaja na staili mpya, ati anawatuma mikoani kutatua kero? Kero zipi zisizojulikana kwake au kwa wasaidizi? Anasema kila siku anazijua shida za watanzania sasa?
Hii ni ghiriba kwa umma ili ionekane karibu nao hata kama aliwatukana wakati wa njaa na tetemeko.
Kama alivyofanya huko Kusini kupora klrosho za watu ati anatafuta Kangomba kumbe hana pesa? Wameshitakiwa kangomba wangapi hasemi!
Sent using Jamii Forums mobile app