abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
[h=2]Wednesday, November 28, 2012[/h]
Picha ya juu na chini Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad, akisalimiana na Walimu wa Chuo cha Elimu Chukwani, alipowasili katika Chuo hicho akiwa katika ziara yake kutembelea Wizara ya Elimu na Taasisi zake.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi, Kaimu Mkuu wa Chuo Hamed Hikmany, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Amali Zanzibar Mhe.Zahara Ali Hamad, Waziri wa Elimu Mhe.Ali Juma Shamuhuna, wakitembelea majengo ya Chuo hicho akiwa katika ziara .
Picha juu na chini Meneja wa Kiwanda cha Uchapaji cha Chuo Kikuu Kishiri cha Elimu Chukwani Zanzibar Mr. Ameir Haji Ameir, akitowa maelezo ya utendaji wa kiwanda hicho cha uchapaji jinsi kinavyotoa huduma kwa Taasisi za Serekali za Binafsi.
Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Chukwani Zanzibar Dk. Hikmany.akitowa maelezo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi akitembelea Chuo hicho ikiwa ni ziara yake kutembelea sekta ya Elimu Zanzibar
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Chukwani Antony Ocheing, akitowa maelezo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, alipofanya ziara kutembelea Chuo hicho Chukwani, akiwa katika ziara ya kutembelea Taasisi zilioko chini ya Wazara ya Elimu Zanzibar.
Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Chukwani Dk. Hamed Hikimany, akitowa maelezo ya Chuo hicho kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, wakati wa ziara yake kutembelea Chuo hicho kilioko Chukwani Zanzibar
Imewekwa na MAPARA at 3:20 PM
Picha ya juu na chini Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad, akisalimiana na Walimu wa Chuo cha Elimu Chukwani, alipowasili katika Chuo hicho akiwa katika ziara yake kutembelea Wizara ya Elimu na Taasisi zake.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi, Kaimu Mkuu wa Chuo Hamed Hikmany, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Amali Zanzibar Mhe.Zahara Ali Hamad, Waziri wa Elimu Mhe.Ali Juma Shamuhuna, wakitembelea majengo ya Chuo hicho akiwa katika ziara .
Picha juu na chini Meneja wa Kiwanda cha Uchapaji cha Chuo Kikuu Kishiri cha Elimu Chukwani Zanzibar Mr. Ameir Haji Ameir, akitowa maelezo ya utendaji wa kiwanda hicho cha uchapaji jinsi kinavyotoa huduma kwa Taasisi za Serekali za Binafsi.
Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Chukwani Zanzibar Dk. Hikmany.akitowa maelezo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi akitembelea Chuo hicho ikiwa ni ziara yake kutembelea sekta ya Elimu Zanzibar
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Chukwani Antony Ocheing, akitowa maelezo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, alipofanya ziara kutembelea Chuo hicho Chukwani, akiwa katika ziara ya kutembelea Taasisi zilioko chini ya Wazara ya Elimu Zanzibar.
Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Chukwani Dk. Hamed Hikimany, akitowa maelezo ya Chuo hicho kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, wakati wa ziara yake kutembelea Chuo hicho kilioko Chukwani Zanzibar
Imewekwa na MAPARA at 3:20 PM