Ziara ya Magufuli Mwanza yasababisha kero kwa wananchi

Sigara Kali

JF-Expert Member
May 28, 2017
3,623
8,428
Kwanza awali ya yote nawaomba mods msifute Uzi huu wala kuunganisha na Uzi mwingine

Leo kama mnavyojua rais Magufuli yupo mwanza kufungua kakiwanda ka juice ka Sayona kilichopo pale kijereshi

Nipo safarini kutoka Mara Kuja mwanza,nafika tu pale kijereshi/National nakutana na foleni ya ajabu sana kwa sababu eti rais ametoka kufungua kiwanda na barabara imefungwa kuanzia National kwenda mjini

Usafiri ni wa Shida sana ,nimekuta baadhi ya wananchi wanalalamika Leo imewalazimu kutumia hadi elfu 10 kwenda mjini ,yani sehemu unayotumia sh 400 Leo unalipa elfu 10 hii sio sawa kabisa

Kile kiwanda ni kidogo sana kwa nini rais asitume wawakilishi wakakifungua ili kuepusha kero kwa watu wake

Mbaya zaidi nimeskia Kuna mama kajifungulia kwenye Tax wakati anapelekwa hospital yani waligoma kuruhusu ile gari ipite kumwaisha mam mjamzito
Ntaendelea kuwaletea kero zingine nitakazokutana nazo

2.jpg


3.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe utakua siyo Mwenyeji wa Mkoa wa Mara, watu wa Mara hawanaga majungu ya Kike kama wewe. Unampangia Mhe. Rais! Akili zako tope kabisa....... Foleni ya magari 15 ndio useme kero waulize waishi Dsm utafunguka zaidi wewe mbutta
 
Mbona sisi tunakaa na huyo mhesimiwa huku Dar na hatulalamiki? Yani huko kwenu kakaa masaa tu tayari mmeshaanza kulalamika?
 
Kwanza awali ya yote nawaomba mods msifute Uzi huu wala kuunganisha na Uzi mwingine

Leo kama mnavyojua rais Magufuli yupo mwanza kufungua kakiwanda ka juice ka Sayona kilichopo pale kijereshi

Nipo safarini kutoka Mara Kuja mwanza,nafika tu pale kijereshi/National nakutana na foleni ya ajabu sana kwa sababu eti rais ametoka kufungua kiwanda na barabara imefungwa kuanzia National kwenda mjini

Usafiri ni wa Shida sana ,nimekuta baadhi ya wananchi wanalalamika Leo imewalazimu kutumia hadi elfu 10 kwenda mjini ,yani sehemu unayotumia sh 400 Leo unalipa elfu 10 hii sio sawa kabisa

Kile kiwanda ni kidogo sana kwa nini rais asitume wawakilishi wakakifungua ili kuepusha kero kwa watu wake

Mbaya zaidi nimeskia Kuna mama kajifungulia kwenye Tax wakati anapelekwa hospital yani waligoma kuruhusu ile gari ipite kumwaisha mam mjamzito
Ntaendelea kuwaletea kero zingine nitakazokutana nazo

View attachment 620670

View attachment 620671

Hili nililitegemea, ndio umo humo kwenye basi la peace maker?
 
Wewe utakua siyo Mwenyeji wa Mkoa wa Mara, watu wa Mara hawanaga majungu ya Kike kama wewe. Unampangia Mhe. Rais! Akili zako tope kabisa....... Foleni ya magari 15 ndio useme kero waulize waishi Dsm utafunguka zaidi wewe mbutta
Acha kashfa msenge wewe mimi sio mtu wa mara ndio unataka nini sasa
 
Back
Top Bottom