Ziara ya Kukutana na Dr W P Slaa

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
Tunapenda kuwajulisha kwamba kutakuwa na ziara ya kukutana na aliyekuwa Mgombea wa Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA DR W P SLAA jumapili Hii , Mahali na Muda tutawajilisha .

Kwenye ziara hii kuna gharama zake kama ukumbi wa sehemu ambayo tutakutania na vyakula/Vinywaji kwenye eneo hilo - Kwahiyo tutachangia gharama kidogo kwa ajili ya shuguli hii nategemea kuwa na gharama kamili Kesho baada ya Kupata Taarifa toka kwa wengine .

Wote mnakaribishwa sana na mtaarifu na mwenzako

Unaweza kudhibitisha kwa kujibu ujumbe huu

Marafiki wa chadema - Friends of Chadema friendsofslaa@gmail.com
 
Tunapenda kuwajulisha kwamba kutakuwa na ziara ya kukutana na aliyekuwa Mgombea wa Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA DR W P SLAA jumapili Hii , Mahali na Muda tutawajilisha .

Kwenye ziara hii kuna gharama zake kama ukumbi wa sehemu ambayo tutakutania na vyakula/Vinywaji kwenye eneo hilo - Kwahiyo tutachangia gharama kidogo kwa ajili ya shuguli hii nategemea kuwa na gharama kamili Kesho baada ya Kupata Taarifa toka kwa wengine .

Wote mnakaribishwa sana na mtaarifu na mwenzako

Unaweza kudhibitisha kwa kujibu ujumbe huu

Marafiki wa chadema - Friends of Chadema friendsofslaa@gmail.com

Ni habari njema kwa wale watako weza kuhudhuria
 
I guess itakuwa DSM tulioko mikoani jeeeeeeeeee
For sure ni Dar!
Lakini provided ni members wa hapa, then tunategemea kuyapata yote waliyoongelea na waliyobadilishana na hatimaye changamoto zilizoonekana kuwa za kipaumbele!
Lakini pia Friends Of Slaa wanatakiwa kuwa kila mkoa, na si Dar tu!...hivyo hatimaye ziara/makongamano kama haya yanaweza kuwa endelevu kila mkoa...ni mtizamo tu!
 
Niafiki hoja. lakini naomba tuanze kutumia majina ya kiswahili zaidi kimkakati. Hii itasaidie kwenda mbele na jamii pana zaidi. Kwa mfano kwanini hatuiti Marafiki wa Slaa (MS) au Chadema.
 
Niafiki hoja. lakini naomba tuanze kutumia majina ya kiswahili zaidi kimkakati. Hii itasaidie kwenda mbele na jamii pana zaidi. Kwa mfano kwanini hatuiti Marafiki wa Slaa (MS) au Chadema.

Mimi nafikiri kama ujumbe unaeleweka hakuna tatizo!suala la kiswahili siyo hoja ya msingi!!
 
Mimi nafikiri kama ujumbe unaeleweka hakuna tatizo!suala la kiswahili siyo hoja ya msingi!!

Suala la kiswahili ni la msingi kwasababu wananchi wengi wanazungumza lugha hiyo na pia huwezi kujiita mzalendo kama hujivunii lugha ya kwenu!!
 
Tunapenda kuwajulisha kwamba kutakuwa na ziara ya kukutana na aliyekuwa Mgombea wa Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA DR W P SLAA jumapili Hii , Mahali na Muda tutawajilisha .

Kwenye ziara hii kuna gharama zake kama ukumbi wa sehemu ambayo tutakutania na vyakula/Vinywaji kwenye eneo hilo - Kwahiyo tutachangia gharama kidogo kwa ajili ya shuguli hii nategemea kuwa na gharama kamili Kesho baada ya Kupata Taarifa toka kwa wengine .

Wote mnakaribishwa sana na mtaarifu na mwenzako

Unaweza kudhibitisha kwa kujibu ujumbe huu

Marafiki wa chadema - Friends of Chadema friendsofslaa@gmail.com
ninakubaliana na wito huu
ila SHY nina kila sababu kuwekea walakini huu mwaliko wako maana kama nikujuavyo weye ni kwamba tangu awali umeonesha kutokuwa na msimamo thabiti kuhusu demokrasia nchini. ningependa kwanza kujua msimamo wako na stand yako kwenye hoja hizi

  1. unauchukuliaje uchaguzi uliopita ulivyoendeshwa??
  2. kumekuwa na connections zinazokulink wewe as founder au co-founder wa Wanabidii Group tupe stand yako hapo
  3. Umekuwa mwanzishaji wa hoja/ vioja na kukimbia bila kujibu seuse kujadili. je nikuamini vipi kama huu sio mtego wenu??
Hili la mwisho, unaposema kwamba TUNAPENDA kuwajulisha..... ni akina nani hao mlioandaa hii kitu???
Je nikikuomba umwambie Dr.aa ambaye ni member humu athibitishe hayo maombi YENU kuwa tukutane naye utafanya hivyo???
je kukutana na mgombea wetu wa urais iweje ijumuishe na kula na kunywa?? mmepanga muda gani wa mkutano na mnadhani kuna usalama kwenye hicho chakula na vinywaji??? due tumekuwa tunajadili kwa undani sana ishu za kitaifa na watawala hawapendi hiyo kitu na walishajaribu na kujaribu kuwafikia baadhi yetu kwa malengo yao....

Nimependa idea lakini just curious....
 
Well:

Shy ni mmoja wao - the preempter!

Shy, umeanza lini urafiki na "wanamageuzi"?

Kwa muda mrefu nafahamu kuwa wewe ni mmoja wa wanaofaidika na mfumo??

Nakuomba sana umwache Dr. W. Slaa na wanamageuzi waendelee na kuleta "mabadiliko" na kuna siku utakuwa "revealed"!

Acha kupotosha UMMA kwa kujiita "Friends" wakati si kweli

Msalimie Kaka yako na Dada yako - wanafahamu vizuri "state house"!
 
ninakubaliana na wito huu
ila SHY nina kila sababu kuwekea walakini huu mwaliko wako maana kama nikujuavyo weye ni kwamba tangu awali umeonesha kutokuwa na msimamo thabiti kuhusu demokrasia nchini. ningependa kwanza kujua msimamo wako na stand yako kwenye hoja hizi

  1. unauchukuliaje uchaguzi uliopita ulivyoendeshwa??
  2. kumekuwa na connections zinazokulink wewe as founder au co-founder wa Wanabidii Group tupe stand yako hapo
  3. Umekuwa mwanzishaji wa hoja/ vioja na kukimbia bila kujibu seuse kujadili. je nikuamini vipi kama huu sio mtego wenu??
Hili la mwisho, unaposema kwamba TUNAPENDA kuwajulisha..... ni akina nani hao mlioandaa hii kitu???
Je nikikuomba umwambie Dr.aa ambaye ni member humu athibitishe hayo maombi YENU kuwa tukutane naye utafanya hivyo???
je kukutana na mgombea wetu wa urais iweje ijumuishe na kula na kunywa?? mmepanga muda gani wa mkutano na mnadhani kuna usalama kwenye hicho chakula na vinywaji??? due tumekuwa tunajadili kwa undani sana ishu za kitaifa na watawala hawapendi hiyo kitu na walishajaribu na kujaribu kuwafikia baadhi yetu kwa malengo yao....

Nimependa idea lakini just curious....

Msanii

Shy as the name "connote" is against "the change" - kuna thread nyingi alianzisha Mr "digital and IT consultant" kuhusu Dr. W.Slaa na politics za mageuzi in general lakini ukisoma kwa makini MS na Shy they have got so many common "characters"!

Hamna cha "good" idea wala nini - He is part of the "system" - ila anasahau kuwa hata Mabutu Seseko alifia "in exile"!
 
Well:

Shy ni mmoja wao - the preempter!

Shy, umeanza lini urafiki na "wanamageuzi"?

Kwa muda mrefu nafahamu kuwa wewe ni mmoja wa wanaofaidika na mfumo??

Nakuomba sana umwache Dr. W. Slaa na wanamageuzi waendelee na kuleta "mabadiliko" na kuna siku utakuwa "revealed"!

Acha kupotosha UMMA kwa kujiita "Friends" wakati si kweli

Msalimie Kaka yako na Dada yako - wanafahamu vizuri "state house"!

Shy,

Sina imani nawewe kaka, na nakuona uko kimaslahi zaidi ....nakuchukulia sawa na mmbwa mwitu kuwa kwenye kundi la wanyama wapole kama vile pundamilia. Jirekebishe bro, unatumika kudhoofisha demokrasia pasipo kujua ya kwamba kuna mamilioni ya watanzania walio nyuma ya Dr. W P Slaa wakisubiri mwongozo wenye kuleta mabadiliko ya kweli.
 
Tunapenda kuwajulisha kwamba kutakuwa na ziara ya kukutana na aliyekuwa Mgombea wa Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA DR W P SLAA jumapili Hii , Mahali na Muda tutawajilisha .

Kwenye ziara hii kuna gharama zake kama ukumbi wa sehemu ambayo tutakutania na vyakula/Vinywaji kwenye eneo hilo - Kwahiyo tutachangia gharama kidogo kwa ajili ya shuguli hii nategemea kuwa na gharama kamili Kesho baada ya Kupata Taarifa toka kwa wengine .

Wote mnakaribishwa sana na mtaarifu na mwenzako

Unaweza kudhibitisha kwa kujibu ujumbe huu

Marafiki wa chadema - Friends of Chadema friendsofslaa@gmail.com

Michango hapa jamvini inakunyooshea kidole cha kusutwa. Kama wewe ni kweli unanyooshewa kidole kiasi hicho na umefikia kupenetrate kiasi jicho kwenye mikakati ya kidemokrasia Please search your soul and conscious and review your stance. Sorry may be you have no choice but you have conscious
 
Back
Top Bottom