Mzalauliwa
Member
- Jul 31, 2014
- 89
- 30
Katibu mkuu wa CCM bwana Abdulahman Kinana hivi punde anatarajiwa kuwasili jimbo la Busanda kata ya Nyarugusu mkoani Geita,hiyo ikiwa ni miongoni wa ziara yake katika mikoa ya ukanda huu.
Agenda kubwa ni kutaka kufungua eneo lenye dhahabu nyingi stamiko ambako wachimbaji wadogo wadogo walipokuwa wakitafuta riziki zao.
Ikumbukwe kuwa eneo hilo lilisababisha mauji baada ya kuzuiliwa kuchimbwa likiorodheswa kuwa ni mali ya mwekezaji,
Angalizo asiliimia kubwa ya wakazi wa hapa ni wachimbaji,na mda wa kujiandikisha umefika sasa je
Hii si ni kampeni ya kutaka watu wasahau wajibu wa haki zao na kukimbilia kuchimba na kucha kujiandikisha.
Msaada jamani wanajamvi.
Agenda kubwa ni kutaka kufungua eneo lenye dhahabu nyingi stamiko ambako wachimbaji wadogo wadogo walipokuwa wakitafuta riziki zao.
Ikumbukwe kuwa eneo hilo lilisababisha mauji baada ya kuzuiliwa kuchimbwa likiorodheswa kuwa ni mali ya mwekezaji,
Angalizo asiliimia kubwa ya wakazi wa hapa ni wachimbaji,na mda wa kujiandikisha umefika sasa je
Hii si ni kampeni ya kutaka watu wasahau wajibu wa haki zao na kukimbilia kuchimba na kucha kujiandikisha.
Msaada jamani wanajamvi.