Unajua kusoma wewe?Huyu mrundi anatembelea magereza kama nani? Si aende kwao aunde chama badala ya kujificha kwenye udini uchwara
Unajua kusoma wewe?Huyu mrundi anatembelea magereza kama nani? Si aende kwao aunde chama badala ya kujificha kwenye udini uchwara
Unazungumzia wakristo wepi hao na wa madhehebu yepi wanaoheshimu gaidi na magaidi?Sheikh Ponda ndio sheikh pekee anayeheshimika na wakristo wengi Tanzania
Kama sijui kusoma nimewezaje kuandika haya hadi ukauliza hivyo? Wahenga wanasema swali la kipumbavu hujibiwa kipumbavu. Hivyo, usishangae mimi kukushangaa mwanangu.Unajua kusoma wewe?
Sasa kama unajua kusoma basi una tatizo la kuelewa, umeambiwa katibu wa shura ya maimamu wewe unauliza anatembelea magereza kama nani?Kama sijui kusoma nimewezaje kuandika haya hadi ukauliza hivyo? Wahenga wanasema swali la kipumbavu hujibiwa kipumbavu. Hivyo, usishangae mimi kukushangaa mwanangu.
yule ni sheikh ubwabwa.Vipi kuhusu yule shehe mkuu wa daslama?
njaa na ujinga vinawasumbua. Hawa hawana tofauti na matapili kama Gwajima, Mazinge, Lusekelo, Mwakasenge na wezi wengine wanaotumia dini kuishi kutokana na kutokuwa na sifa elimu wala utundu wa kuishi kihalali.
Hawa Magaidi toka wamekamatwa Arusha hakuna tena Mabomu wala hatari ya Usalama. Tunaomba tu wahukumiwe ili wasipoteze muda MahabusuShura ya Maimamu Tanzania
TAARIFA YA MASHEIKH WA GEREZA LA ARUSHA LEO 11.10.2021.
Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda amefanya ziara leo kuwajua hali Masheikh waliopo katika Gereza Kuu la Arusha Kisongo.
Masheikh hao na waumini wao wapatao 61, walikamatwa mwaka 2014, na kupewa kesi za Ugaidi.
Kati yao watatu (3), tayari wamefariki dunia wakiwa gerezani na kubaki 58.
Waliofariki wameacha mayatima 18, na wajane 5.
Wanashikiliwa kwa zaidi ya miaka minane huku Serikali ikidai bado inatafuta ushahidi.
Miezi kadhaa iliyopita Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambae pia ni Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hasaan aliagiza kesi zilizokosa ushahidi kama hizo zifutwe ili watu wapate haki yao ya huru.
Hata hivyo agizo hilo limekuwa kama halikubaliki kwa watendaji wake.
Miongoni mwa mahabusu wanaogusa hisia za watu ni Yasini Mohammed aliyekamatwa (2014), akiwa mtoto mwenye umri wa miaka 15, na kupewa Ugaidi. Yasini anakulia gerezani na kukosa haki ya Elimu na malezi ya Baba na Mama.
Mwingine ni muadhini wa Msikiti aliyekamatwa mwaka huo akiwa na umri wa miaka 62, ambaye sasa yuko taabani kwa afya na uzee gerezani.
Katika ziara hiyo Sheikh Ponda amewafikishia Mahabusu hao salamu za Mawakili kuwa kesi zao zatakapoanza kusikikizwa watakwenda Arusha kuwatetea.
Mawakili hao ni wale waliowatetea Masheikh wa Uamsho na kushinda kesi 14, za Ugaidi kati ya 25, walizofunguliwa.
Sheikh Ponda pia amekutana na Familia za Mahabusu hao na kufanya nao mazungumzo.
Tayari amekwishafanya ziara katika Magereza ya Dar, es Salaam, Tanga na sasa Arusha. Ziara zinazofuata ni za Morogoro, Mwanza na Mtwara ambako pia mamia ya Waislamu baado wanashikiliwa.
Sheikh Ponda aliondoka Jijini Dar es Salaam jana 15.10.2021, saa 1:45 na kupokewa na viongozi wa Arusha katika uwanja wa Kilimanjaro International Air Port, saa 03:05, asubuhi.
Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji Shura ya Maimamu
0713118812.
Bila Bakwata Waislamu ni vurugu, Bila Bakwata hapa itakuwa vurugu za kugombea misikiti kila sikuUkisikia Kuna sheikh Yuko ndani kwa makosa ya kigaidi ujue huyo sio wa bakwata.
Viongozi wote wa serikali na mashirika yake lazima Ni wa mrengo wa ubwabwa yaani bakwata.
Ukitaka kuikwaza serikali jiondoe bakwata. (Kwa waislamu)
Huwa nikiona shekh au kiongozi wowote wa kidini anawapigia debe maccm bs najua huyo anamatatizo au ni jizi lililo jificha kwenye dini kutapeli watuHawana lao tena
Utawala huu hautaki wanafiki na watu wa ndio bwana
Kina hadi mpaka kanzu zitapauka
Huwa nikiona shekh au kiongozi wowote wa kidini anawapigia debe maccm bs najua huyo anamatatizo au ni jizi lililo jificha kwenye dini kutapeli watu
Yani mwakasege umemuweka kwenye hao wajinganjaa na ujinga vinawasumbua. Hawa hawana tofauti na matapili kama Gwajima, Mazinge, Lusekelo, Mwakasenge na wezi wengine wanaotumia dini kuishi kutokana na kutokuwa na sifa elimu wala utundu wa kuishi kihalali.
Bora Mrundi anaejali watanzania kuliko mtanzania msalitiHuyu mrundi anatembelea magereza kama nani? Si aende kwao aunde chama badala ya kujificha kwenye udini uchwara
wewe ndo tatizo lwani yeye ni mtumishi wa umma au huko ni msikitini watakwenda wangapi tusichanganye dini na siasa jamani tunaanza kufufua udini taratibu.Sasa kama unajua kusoma basi una tatizo la kuelewa, umeambiwa katibu wa shura ya maimamu wewe unauliza anatembelea magereza kama nani?
Hapo siasa iko wapi mkuu? Wamefungwa maimamu na masheikh aliyewatembelea ni sheikh pia ni kiongozi tatizo liko wapi?wewe ndo tatizo lwani yeye ni mtumishi wa umma au huko ni msikitini watakwenda wangapi tusichanganye dini na siasa jamani tunaanza kufufua udini taratibu.
Aende kama ndugu lakini siyo kama katibu. Kama tutaruhusu upuuzi huu ni wangapi watakwenda na kweli kutakuwa na magereza au vurugu? Kesho atataka kutembelea mahakama kwa sababu mashehe wanahukumiwa huko. Kesho kutwa atataka aende ikulu kwa vile majaji wanateuliwa huko.Hapo siasa iko wapi mkuu? Wamefungwa maimamu na masheikh aliyewatembelea ni sheikh pia ni kiongozi tatizo liko wapi?
Mufti SIMBA, shehe MUSSA SALUM.Huyo Mzee yupo vizuri sana anajitambua sio wale wengine mashehe wa tumbo tuu...