Ziara ya Kagera, Magufuli chagua pia mwenyewe ambako ungetaka kwenda, yaoonesha wasaidizi wako hawapendi uje huku makwetu Rusahunga - Ngara kwani bila shaka utawatumbua tu.
Mh. Rais ilikuwa faraja kuwa utakuwa na ziara ya siku 4 mkoani Kagera. Hata hivyo ikashangaza kuwa katika ziara hii hutafika kabisa Biharamulo wala Ngara. Mheshimiwa wanaotengeneza wapi uende na wapi upite labda kama wana ajenda zao za siri. Vinginevyo mheshimiwa hebu jiongeze mwenyewe uwatake sasa ufike pia Ngara kupitia hii barabara ya Rusahunga - Nyakahura - Nyabugombe - hadi Benaco: katika njia hii kuu itokayo Dar hadi kwenye mpaka wa Tanzania na Burundi na pia Rwanda.
Ni wazi kuwa kama ungeweza kufanya safari ya kushtukiza kama mambo yako ya siku zile za mwanzo yaliyvokuwa; ukapita mwenyewe na huku pasipo na kuwaandaa wasaidizi wako hawa, majipu yahusianayo na barabara hii wala yasingehitji kutumbuliwa na mtalaamu mtumbuaji kama wewe bali yangetumbuka yenyewe tu.
Kwa jinsi ilivyo, huku sasa siyo wla kuiva tu kwa majipu bali yamepitiliza mno mheshimiwa hadi yakatepeta kwa na kujipongeza kuwa bingwa mtumbua majipu kazi hiyo labda sasa kaachana nayo kabisa! Ni mwenye uhakika kuwa wewe huna tena haja ya utumbuaji anayeweza achia barabara ikaporomoka kiasi hiki na bado akawa na jeuri ya kukujenga kiwanja cha ndege cha sh. bilioni 39.5 tena jimboni kwako.
Hivi sasa mvua zina nyesha hali barabara ni as good as haipo. Haihitaji uchambuzi mkubwa kufahamu kuwa washauri na wasaidizi wako hawa wanaokuvisha vilemba vya ukoka kwa jenzi za viwanja vya ndege tena kwa kuanzia Chatto hawakutakii mema. Funga safari sasa uelekee huku Ngara Ngara ujionee mwenyewe. Yataka umakini mheshimiwa kwani vinginevyo usije fanyiwa kama yule spika waliyemvisha kilemba cha ukoka na kumjengea ofisi ya Spika jimboni kwake kana kwamba atakuwa spika wa kudumu au kama vile maspika watakuwa wakitokea jimbo hilo siku zote au kuwa hata Ndugai leo atahamia huko kufanyia kazi za uspika anapokuwa likizo badala ya Kongwa.
Jiongeze mheshimiwa vinginevyo hawa jamaa wanaokueleza kuwa kila kitu ni shwari watakuwa wanapalilia chuki kwa niaba yako toka kwa wapiga kura wako 2020 pasipo na wewe mwenyewe kujua.
Mh. Rais ilikuwa faraja kuwa utakuwa na ziara ya siku 4 mkoani Kagera. Hata hivyo ikashangaza kuwa katika ziara hii hutafika kabisa Biharamulo wala Ngara. Mheshimiwa wanaotengeneza wapi uende na wapi upite labda kama wana ajenda zao za siri. Vinginevyo mheshimiwa hebu jiongeze mwenyewe uwatake sasa ufike pia Ngara kupitia hii barabara ya Rusahunga - Nyakahura - Nyabugombe - hadi Benaco: katika njia hii kuu itokayo Dar hadi kwenye mpaka wa Tanzania na Burundi na pia Rwanda.
Ni wazi kuwa kama ungeweza kufanya safari ya kushtukiza kama mambo yako ya siku zile za mwanzo yaliyvokuwa; ukapita mwenyewe na huku pasipo na kuwaandaa wasaidizi wako hawa, majipu yahusianayo na barabara hii wala yasingehitji kutumbuliwa na mtalaamu mtumbuaji kama wewe bali yangetumbuka yenyewe tu.
Kwa jinsi ilivyo, huku sasa siyo wla kuiva tu kwa majipu bali yamepitiliza mno mheshimiwa hadi yakatepeta kwa na kujipongeza kuwa bingwa mtumbua majipu kazi hiyo labda sasa kaachana nayo kabisa! Ni mwenye uhakika kuwa wewe huna tena haja ya utumbuaji anayeweza achia barabara ikaporomoka kiasi hiki na bado akawa na jeuri ya kukujenga kiwanja cha ndege cha sh. bilioni 39.5 tena jimboni kwako.
Hivi sasa mvua zina nyesha hali barabara ni as good as haipo. Haihitaji uchambuzi mkubwa kufahamu kuwa washauri na wasaidizi wako hawa wanaokuvisha vilemba vya ukoka kwa jenzi za viwanja vya ndege tena kwa kuanzia Chatto hawakutakii mema. Funga safari sasa uelekee huku Ngara Ngara ujionee mwenyewe. Yataka umakini mheshimiwa kwani vinginevyo usije fanyiwa kama yule spika waliyemvisha kilemba cha ukoka na kumjengea ofisi ya Spika jimboni kwake kana kwamba atakuwa spika wa kudumu au kama vile maspika watakuwa wakitokea jimbo hilo siku zote au kuwa hata Ndugai leo atahamia huko kufanyia kazi za uspika anapokuwa likizo badala ya Kongwa.
Jiongeze mheshimiwa vinginevyo hawa jamaa wanaokueleza kuwa kila kitu ni shwari watakuwa wanapalilia chuki kwa niaba yako toka kwa wapiga kura wako 2020 pasipo na wewe mwenyewe kujua.