Wananchi walalamikia sera za CCM Mpya zinawaumiza sana
Viongozi wa ACT - Wazalendo wakiwa katika ziara ya kuonana na wananchi wa Dar es Salaam, wamekutana na vilio vya watu mitaani kuhusu kukithiri kwa umaskini, huduma duni za afya, kero za kuongezewa gharama wakati wa makadirio ya kodi.
Kwa kifupi maendeleo ya watu yamerudishwa hatua mia nyuma na wananchi wanazidi kulalamikia sera ya CCM Mpya iliyojikita katika maendeleo ya vitu yasiyo na mguso katikamaisha yao ya kila siku.
Source: MwanaHALISI TV
Viongozi wa ACT - Wazalendo wakiwa katika ziara ya kuonana na wananchi wa Dar es Salaam, wamekutana na vilio vya watu mitaani kuhusu kukithiri kwa umaskini, huduma duni za afya, kero za kuongezewa gharama wakati wa makadirio ya kodi.
Kwa kifupi maendeleo ya watu yamerudishwa hatua mia nyuma na wananchi wanazidi kulalamikia sera ya CCM Mpya iliyojikita katika maendeleo ya vitu yasiyo na mguso katikamaisha yao ya kila siku.
Source: MwanaHALISI TV