Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Ajira siku hizi mkuu haijali ueledi wa taasisi husika. Zamani kila aliyeajiliwa alipaswa kwenda chuo cha taasisi husika kupikwa kwanza.TTCL customer care wakizidiwa wanaanza kulaumiana wao kwa wao mbele ya mteja kama waigizaji fulani, hawana kawaida kuitana chemba kuyajenga, sijui mwalimu wao ni nani, nashauri wawe na mafunzo kazini