ZIARA: Waziri wa TEHAMA wa Rwanda, Paula Ingabire atembelea ofisi za TTCL

TTCL Customer Care

Official Account
Aug 18, 2016
279
317
ZIARA: Waziri wa TEHAMA na Ubunifu wa Rwanda Mhe. Paula Ingabire atembelea ofisi za TTCL ikiwa ni ziara ya kuimarisha Mahusiano katika sekta ya Mawasiliano na kukuza biashara.

#RudiNyumbaniKumenoga


May be an image of 1 person, standing and text that says 'TTCι Qn ions Regulatory K INGA Authority A LEVEL G FIELD TT Corpor CERTIFIED TTCι Corporation TBC ayor'


May be an image of 2 people and people standing

May be an image of 1 person, standing and indoor
May be an image of 2 people
May be an image of 1 person and standing
May be an image of 3 people, people sitting, suit and indoor
 
Naona kuna kamtindo kanataka kuanza ka kuendeleza so called vya kwetu / serikali kwa kuua competition na sio kuboresha vya kwetu ili vishindane na competition

Mkinogesha nyumbani tutarudi tu, hakuna haja ya kuwauwa majirani
 
Mmetuwekea mapicha bila kuandika amesema nini!! Huenda mnaficha labda tukijua alichosema tutawaona mmepwaya sana
 
Hiyo painting yenye Mount Kilimanjaro imechorwa na mtoto ama mtu Mzima?
Wengi tumeshangaa, wameshindwa kuendesha kampuni, wakashindwa hata kupata mchoraji mzuri!! Picha ipo kama mwanasesere! Kaulize bei waliyonunulia hiyo picha utachoka
 
Bi Paula ni mtaalam wa teknolojia za aina mbalimbali katika sekta ya mawasiliano khasa systems design.

Waziri Ndugulile usisiste kumtumia kwa kumuomba msaada wa kitaalam kuongeza uwezo wa TTCL kuwa imara nchini.
 
Back
Top Bottom