Mke wa Rais, mama Salma amekuwa akifanya ziara katika mikoa mbalimbali hapa nchini na kupokelewa na viongozi wakiwemo wakuu wa mikoa. Je, ana cheo gani kitaifa hadi kupokelewa rasmi hivyo. Je, kuwa fisrt lady ni cheo kinachotambulika na katiba yetu. Au ni mradi wa kutangaza WAMA na wakati huo huo kumwandalia mzee njia ya oktoba mwaka huu. Lakini je ni halali yeye kufanya ziara kama kiongozi wa serikali.