Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,331
- 8,208
Katika hali inayoonesha kutaharuki na kuyumba kwa serikali mawaziri na manaibu waziri wote wakiongozwa na waziri mkuu..kesho jumatatu tar 1/10 wanaaza ziara nchi nzima kujaribu kuzima nguvu ya umma iliyoanza kujengeka miongoni mwa wanachi na kurudisha heshima ya serikali inayoporomoka kwa kasi..
Juzi mawaziri na manaibu wote walikuwa katika kikao cha kuwekana sawa.. pamoja na kujengana kimorali tayari kwa ziara hiyo ya mikoani, ziara hii inatokana na yafuatayo.. na hizo zikiwa hadidu za rejea ambazo mawaziri wana kazi ya kuzisafisha.
1. Kuchafuliwa kwa serikali na vyama vya upinzani.
2. Kutoa ufafanuzi kwa kashfa mbalimbali zinazoikabili serikali..
3. Kuwaelewesha wananchi maana ya sera na kauli mbui za serikali "maisha bora kwa kila mtanzania yanawezekana" na "ARI MPYA NGUVU MPYA NA KASI MPYA".. hasa wakikazania mafanikio ya serikali ya awamu ya nne hadi leo.. hasa kwenye nyanja za kiuchumi , miundombinu na ilimu..
4. Mafanikio ya ziara za rais na za viongozi kwa ujumla..
5. Kuzima dalili za nguvu za umma [hasa kuzomewa kwa viongozi na kurushiwa mawe ..i.e pale mkuu wa wilaya Kinondoni alipovurumshwa kwa mawe].., au pale rais aliposimamishwa na wananchi kule Buzwagi.. na kufikia kuthubutu kumzodoa na kumgunia rais.. amabalo si jambo la kawaida.... ambazo ni dalili za kuashiria kuyumbisha usalama wa taifa.
Kufanyika kwa ziara hizi hasa katika kipindi hichi kwa uchambuzi wangu binafsi na kwa kuzingatia hadidu za rejea kunaweza kuisaidia serikali kujisafisha ila zaidi zitawasha moto mkubwa zaidi wa serikali kukataliwa.. kwani umahiri wa mawaziri wengi katika kujenga hoja unatia shaka.. uwezekano wa kutuliza hasira za wananchi ni mdogo sana....
Njia pekee ya serikali kujisafisha ni kwa kufanya maendeleo na kuchukua hatua dhidi ya ufisadi....
Baadhi ya watafiti wa kisiasa wanaamini kuwa umaarufu wa mheshimiwa UMESHUKA HADI KUFIKIA ASILIMIA 50% TOKA 80% WALIZORIPOTI REDET..MWAKA 2005..NA KWELI RAIS AKASHINDA KWA 80.2%...KATIKA SIKU ZA KARIBUNI WATU WALIO KARIBU NA PROF MKANDARA WANASEMA AMEKATAA KUFANYA UTAFITI KUTHIBITISHA UMAARUFU KUVUKA CHINI YA 50% KWA MADAI KUWA HALI YA KISIASA KWA SASA NI BIASED KUWEZA KUTOA MAJIBU MUAFAKA..
Juzi mawaziri na manaibu wote walikuwa katika kikao cha kuwekana sawa.. pamoja na kujengana kimorali tayari kwa ziara hiyo ya mikoani, ziara hii inatokana na yafuatayo.. na hizo zikiwa hadidu za rejea ambazo mawaziri wana kazi ya kuzisafisha.
1. Kuchafuliwa kwa serikali na vyama vya upinzani.
2. Kutoa ufafanuzi kwa kashfa mbalimbali zinazoikabili serikali..
3. Kuwaelewesha wananchi maana ya sera na kauli mbui za serikali "maisha bora kwa kila mtanzania yanawezekana" na "ARI MPYA NGUVU MPYA NA KASI MPYA".. hasa wakikazania mafanikio ya serikali ya awamu ya nne hadi leo.. hasa kwenye nyanja za kiuchumi , miundombinu na ilimu..
4. Mafanikio ya ziara za rais na za viongozi kwa ujumla..
5. Kuzima dalili za nguvu za umma [hasa kuzomewa kwa viongozi na kurushiwa mawe ..i.e pale mkuu wa wilaya Kinondoni alipovurumshwa kwa mawe].., au pale rais aliposimamishwa na wananchi kule Buzwagi.. na kufikia kuthubutu kumzodoa na kumgunia rais.. amabalo si jambo la kawaida.... ambazo ni dalili za kuashiria kuyumbisha usalama wa taifa.
Kufanyika kwa ziara hizi hasa katika kipindi hichi kwa uchambuzi wangu binafsi na kwa kuzingatia hadidu za rejea kunaweza kuisaidia serikali kujisafisha ila zaidi zitawasha moto mkubwa zaidi wa serikali kukataliwa.. kwani umahiri wa mawaziri wengi katika kujenga hoja unatia shaka.. uwezekano wa kutuliza hasira za wananchi ni mdogo sana....
Njia pekee ya serikali kujisafisha ni kwa kufanya maendeleo na kuchukua hatua dhidi ya ufisadi....
Baadhi ya watafiti wa kisiasa wanaamini kuwa umaarufu wa mheshimiwa UMESHUKA HADI KUFIKIA ASILIMIA 50% TOKA 80% WALIZORIPOTI REDET..MWAKA 2005..NA KWELI RAIS AKASHINDA KWA 80.2%...KATIKA SIKU ZA KARIBUNI WATU WALIO KARIBU NA PROF MKANDARA WANASEMA AMEKATAA KUFANYA UTAFITI KUTHIBITISHA UMAARUFU KUVUKA CHINI YA 50% KWA MADAI KUWA HALI YA KISIASA KWA SASA NI BIASED KUWEZA KUTOA MAJIBU MUAFAKA..