PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,856
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa,dkt Heiko Maas,kesho anatarajia kutua nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili,ambapo ataambatana na ujumbe wa wafanyabiashara 50 kutoka Ujerumani.
Pia anatarajia kutembelea shule ya sekondari ya Zanaki,na baadae ataenda Arusha kufatilia kesi ya masalia katika mahakama ya kimataifa iliyopo Arusha
source:TBC taifa radio
Pia anatarajia kutembelea shule ya sekondari ya Zanaki,na baadae ataenda Arusha kufatilia kesi ya masalia katika mahakama ya kimataifa iliyopo Arusha
source:TBC taifa radio