Habari nilizopokea karibuni ni kuwa mtangazaji wa zaidi ya miaka 40 na BBC aliyestaafu miaka michache iliyopita na ambaye ni mzaliwa wa hapa kwetu Zanzibar amefariki dunia akiwa usingizini.
Sitaji jina kwa sasa hivi ili kutowashtua jamaa zake ambao nadhani kwa sasa watakuwa ndio kwanza wanapata habari hizo. Hadi kufikia juzi alikuwa mzima wa afya na alionekana mitaani London akifanya Shopping kujiandaa kwa funga funga za maduka hapa London!
Vicky Mtetema, Abdul Majura na kaka Ngahtyoma nikijisahau, tafadhali, muwaarifu wana JF- ni nani aliyefariki. Nadhani wote watakuwa na dukuduku kumjua bibie. Ina lillahi wa inaillahi rajiuuun!!
Sitaji jina kwa sasa hivi ili kutowashtua jamaa zake ambao nadhani kwa sasa watakuwa ndio kwanza wanapata habari hizo. Hadi kufikia juzi alikuwa mzima wa afya na alionekana mitaani London akifanya Shopping kujiandaa kwa funga funga za maduka hapa London!
Vicky Mtetema, Abdul Majura na kaka Ngahtyoma nikijisahau, tafadhali, muwaarifu wana JF- ni nani aliyefariki. Nadhani wote watakuwa na dukuduku kumjua bibie. Ina lillahi wa inaillahi rajiuuun!!