Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Wa kuendekeza ngono mkuuUjinga gani mkuu
Wa kuendekeza ngono mkuuUjinga gani mkuu
Jibu ni kwamba mpaka sasa tayari ninao watoto wa kutosha nahitaji mke wa kunipa furaha tu.
Zero daaah unamisimamo ya JamaicaSina mambo sana kwenye kuchagua mwenza ila tu siku nikipata mwanamke ambae ni Mgumba/Tasa nitaoa na kuianza safari ya Ndoa,
Wengi watauliza kwa nini nataka mwanamke wa dizaini hii ni kwamba,
Naitaji mwanamke wa kumpa furaha, naitaji mwanamke ambae hana cha kupoteza(siyo siku mkigombana akimbilie kusema ni kwa ajiri ya wanangu ndio maana bado niko hapa,) na sababu zingine nyingi nyingi,
Watu mtauliza ina maana zero huna huitaji wa watoto?
Jibu ni kwamba mpaka sasa tayari ninao watoto wa kutosha nahitaji mke wa kunipa furaha tu.
Nikipata hata leo natangaza ndoa.
Ongezea ni ntabwenkeNdio maana ukaitwa zero
Yaani Hanna kitu
Yaani empty
Yaani moja haikai,mbili haipandi
Yaani kifupi 0
Gongo na BangiWewe unaendekeza nini mkuu
Inshallah tutawadaka mkuuBado mkuu,inabidi nizoee mazingira
Ongezea ni ntabwenke
Ziro sifuri masikio upo vizuri umehonga chips goli umefunga sasa umeamua kufurahisha wagumba safi wasaidie wagumbaSina mambo sana kwenye kuchagua mwenza ila tu siku nikipata mwanamke ambae ni Mgumba/Tasa nitaoa na kuianza safari ya Ndoa,
Wengi watauliza kwa nini nataka mwanamke wa dizaini hii ni kwamba,
Naitaji mwanamke wa kumpa furaha, naitaji mwanamke ambae hana cha kupoteza(siyo siku mkigombana akimbilie kusema ni kwa ajiri ya wanangu ndio maana bado niko hapa,) na sababu zingine nyingi nyingi,
Watu mtauliza ina maana zero huna huitaji wa watoto?
Jibu ni kwamba mpaka sasa tayari ninao watoto wa kutosha nahitaji mke wa kunipa furaha tu.
Nikipata hata leo natangaza ndoa.
Kamuona kaamua kuanza kampenYupo mwenzako kaanzisha uzi humu atakufuata
Ndio maana ukaitwa zero
Yaani Hanna kitu
Yaani empty
Yaani moja haikai,mbili haipandi
Yaani kifupi 0