DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,908
- 45,342
Haiwezekani vijana under 20 years wakawalaza macho juu.
Kuuwaua sio njia sahii kwani most of them they know nothing About life so kuwaua kwa Risasi it about killing innocent kids so Panya road are supposed to live last longer
Njia za kumaliza hili tatizo ni kutumia njia za haki na kuhakikisha vijana waingizwa katika Fursa za uzalishaji .
Ahsanteni ..Ni Mimi hapa Mr Justice
Maana kuhusu kuua watu hakuna Mtu kaua watu wasio na hatia Kama Magufuli.
Bira kuwaandalia vijana Opportunities za Maisha ya kula kwa jasho msitegemee changes
Hata ulaya Jobless wanalipwa ili waweze Afford expenses za Maisha.
Kuuwaua sio njia sahii kwani most of them they know nothing About life so kuwaua kwa Risasi it about killing innocent kids so Panya road are supposed to live last longer
Njia za kumaliza hili tatizo ni kutumia njia za haki na kuhakikisha vijana waingizwa katika Fursa za uzalishaji .
Ahsanteni ..Ni Mimi hapa Mr Justice
Maana kuhusu kuua watu hakuna Mtu kaua watu wasio na hatia Kama Magufuli.
Bira kuwaandalia vijana Opportunities za Maisha ya kula kwa jasho msitegemee changes
Hata ulaya Jobless wanalipwa ili waweze Afford expenses za Maisha.