Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Mkuu wangu tafadhali.... Hivi kama hajui ulitegemea aseme nini zaidi?. bila shaka kisha kwambai ahajui wewe bado unataka akueleze approx. itachukua muda gani wakati hajui. Je ulitaka akudanganye?..au afanye guess work!
Do u know what you talking about??yeye kama customer services kazi yake ni nini??kupokea simu na kuwajibu watu uchafu au??yeye ilibidi atoe approx yake au aulize kwa hao ma engineer,sio aseme mimi sio engineer kwanza aliyepiga simu hajui kama yeye ni customer services??analipa hela kupata internet sasa why wamzingue??stupid Zena
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums