Hata JK mwanzo alikuwa anakubalika na jamii........ na akapata kura nyingi sana za uraisi lakini 2010 kura zilipungua sanaZembwela, najua uko eastafricaradio, una mchango mzuri kwa jamii ya kibongo, unapinga maovu mengi e.g. umeme, maji, ufisadi n.k. Sasa hapa unapoenda kwa sugu utapoteza umaarufu wako, sugu bado anakubalika ktk jamii ya kibongo.
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.
Kuwa juu siyo kinga ya kwamba utukane watu wakae kimya............Eti kisa mtu anajua kuigiza basi anapewa radio presenter,uandishi wa habari,u-MC...wakubali tu ya kwamba sugu yuko juu,mbona easy?
kwanza hukua specific kwenye heading yako, and to answer that one, album haiandaliwi kama we we unavyoandaa posts za jf<br />
<br />
Antivirus vol. 2 imetoka last week wewe