mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Monoban wamemmaliza sembuse huyu wa kiinua Mgongo.Mzee utamaliza kiinua mgongo Chako bure
Monoban wamemmaliza sembuse huyu wa kiinua Mgongo.Mzee utamaliza kiinua mgongo Chako bure
mdanganye aje kumalizia kiinua mgongo chake ili afe vizuri.Mheshimiwa Dr. Tunakuomba sana uje uokoe jimbo letu la Arusha
mkuu volume hapo vipi?Acha utani.
Huyo afande asiyejua hata kujieleza jukwaani, eti CCM wamteue kugombea Arusha Mjini?
Yote tisa, hivi ni kitu gani hasa kimepelekea mpaka juzi Magufuli kaamua kumtumbua katika Ukuu wa Mkoa wa Rukwa?
Ni mzigo?
Fisadi?
Maana kipindi kile alipoteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa, alikuwa akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi hodari, na alikuwa akifanyakazi muda wote na alikuwa akitoka ofisi saa tano usiku!!!
ndio anaenda kuwapitisha madiwani wa mkoa mzima sasaHuyo hata udiwani hawezi kupata
Labda PHD ya kupiga diliHuyu ofisa wa Polisi wa zamani wa Mwanza ana Phd? Ya kitu gani?
mwanae ni mwekiti UVCCM MKOA NA YEYE ANATAKA UENYEKITI WA MKOA??? KUMBE MAAFISA WENGI WA POLISI NI MAKADA PIA!!!Huyu Mhe. Akae tu atulie mara nyingi magonjwa ya wazee huwakuta baada ya kustaafu na kujiingiza kwenye siasa.
PhD kivipi, huyu mbona alikuwa RPC?Katika kuhakikisha jimbo la Arusha linarudi CCM. Mhe. Zelote Steven (PhD) ameanza kupiga jaramba kuwania kiti hicho. Wanarusha tumuunge mkono