Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,553 9,530 Jun 27, 2016 #3 Haya mazee ni kuyanyonga yamekula ujana wao zamani sasa yanataka kuharibu vijana wetu
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 47,660 40,852 Jun 27, 2016 #4 Na hawachelewi kukaanza
KENZY JF-Expert Member Dec 27, 2015 26,213 56,849 Jun 27, 2016 #5 Ha ha et mapera... dogo anatakiwa afikiri ni mapera gani hayo,huenda yakawa ni yaleeeeeee......!!