Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Hamna lolote mtafanyaUoga ni aibu kubwa sana !
Hamna lolote mtafanyaUoga ni aibu kubwa sana !
Hujui unachopinga.Vikaragosi vya CCM vinatumiwa kukwamisha harakati za ukombozi. Hata hivyo kitendo hiki kinachochea moto wa kujikomboa.
Hii tume ya ubaguzi lazima iadhibiwe mwishoni .Tume ya ccm ya maadili sasa imejikita kuwafanyia kampeni chadema na ACT kwani adhabu zao zinazidi kuzidisha chuki kwa ccm, tuvyama kama TLP UDP na twenzao tuliopo kwenye hiyo kamati ni watumishi wa ccm
Msemakweli ambaye ni Mpenzi wa Mungu huwa yuko hivi, siyo yule mwingine anayempenda Mungu kinafiki. Penye ukweli sema kweli na kweli itakuweka huru.Hii ilikuwa ni lazima ifanyike kwani isingewezekana CCM na Mgombea wake huko Dkt. Mwinyi ambaye hakubaliki na Wapemba akafanye Kampeni zake huko wakati Maalim Seif nae akiwepo kwani kuna uwezekano kama angewapata Watu wengi basi angekuwa ni Yeye, Mkewe, Walinzi na Madereva wake pekee. Kumfungia huku sasa kutaweza kumfanya angalau Mgombea huyu Dkt. aende huko Pemba ili akafanye Kampeni zake ambazo nimetaarifiwa kuwa kutokana na 'Ubandidu' wa Wapemba kwa CCM imebidi na Dkt. Magufuli nae aende Kumsaidia pia japo ni pagumu.
Angefutwa kabisa
Kushawishi watu wakapige kura sambamba na Vikosi vya ulinzi tofauti na Utaratibu ni kunajisi zoezi zima la Uchaguzi, Anyimwe Urais kama alivyonyimwa 2015 kwa kimbelembele chake cha kujitangaza kabla ya muda
Kishanyimwa urais tangi 1984 hadi leoUnabweka JF , waambie wajaribu
Kishanyimwa urais tangi 1984 hadi leo
Kanyimwa 1984 akapewa Mzee Mwinyi, kanyimwa 1985 akapewa Mzee Idrisa, kanyimwa 1995 akapewa Dr Salmeen, kanyimwa 2000 na 2005 akapewa karume jr, kanyimaa tema 2010 na 2015 akapeaa Dr Shein mlifanya nn?
90% ya waliomnyima miaka yote bado wapo kazini, mnategemea muujiza gani this time?
Zingatia, 28 October 2020 ni siku ya kulinda Muungano na Mapinduzi ya 1964 sio vinginevyo
Muungano wa wezi na majambazi hatuutaki
Nakuambia tena si mjaribu kumwondoa, mnaogopa kitu gani na kama ulivyosema alishanyimwa miaka mingi na haikuwa kitu
Ngonjera za nini ??
Mlisema 'haki'yenu ya ushindi ya 2015 mngepewa labla ya 2020