Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Sheria za uchaguzi wa Zanzibar zinasenma ili uandikishwe kuwa mpiga kura ni lazima uwe Mzanzibari Mkaazi katika jimbo unalojiandikisha. Ukijadili tafadhali zingatia hilo. Huu ni utawala wa sheria Bwana!!!. Usiwakandie ZEC tu. Hata hao uliowasema0- kama hawana Zan Id hawatoandikishwa katika uchaguzi wa 2010.
Wakati anagombea katika ngazi hiyo ya urais alikuwa mkazi wa wapi? Mambo mengine si lazima uende darasani.