Note: JWTZ, Police.....hawana chama! acheni wafanye kazi yao kama walivyoagizwa!
Note: JWTZ, Police.....hawana chama! acheni wafanye kazi yao kama walivyoagizwa!
Heeee!!!
Ina maana NEC wameshindwa kufanya hii kazi?!!! Nchi hii sheria zinavujwa waziwazi tu, and no one cares! Wengine wananyimwa haki yako ya kupiga kura, kila mtu amekaa kimya!!!
Je, ni sahihi kwa vifaa vya kupigia kura kusambazwa na JWTZ? Kama Lt. Gen. Shimbo ndio anatishia namna hii, hivyo vifaa vitakapofika kwenye vituo vya kupigia kura tutakuwa na imani navyo kweli?
Note: JWTZ, Police.....hawana chama! acheni wafanye kazi yao kama walivyoagizwa!
Note: JWTZ, Police.....hawana chama! acheni wafanye kazi yao kama walivyoagizwa!
Kuwepo kwake yeye katika nafasi hiyo ndio udini? au kunajambo jengine! hicho unacho dai kukemea ndichi kinacho kusumbua.Abdallahaman shimbo asituletee udini ndani ya jeshiiii.Kamati yao ni;
- MRISHO KIKWETE ,
- YUSUF MAKAMBA,
- ABDLAHAMNA KINANA,
- RIDHIWANI KIWETE,
- MIRAJI KIKWETE
- SALAMA KIKWETE,
- SAIDI MWEMA,
- SOFIA SIMBA,
sijamuelewa ila kama kunakitu anataka kusema hvkuwepo kwake yeye katika nafasi hiyo ndio udini? Au kunajambo jengine! Hicho unacho dai kukemea ndichi kinacho kusumbua.