Elections 2010 ZEC yafunga ndoa na JWTZ!

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,347
6,471
Je, ni sahihi kwa vifaa vya kupigia kura kusambazwa na JWTZ? Kama Lt. Gen. Shimbo ndio anatishia namna hii, hivyo vifaa vitakapofika kwenye vituo vya kupigia kura tutakuwa na imani navyo kweli?
 
Hivi hawa JWTZ wametokea wapi ktk shughuri hizi za uchaguzi? Mbona wanataka kuvuruga amani nchini? Mtasikia mwishoni, JWTZ ndio watakao hesabu kura. Hapa naona tayari Tanzania imeshachafuka.
 
..........please please please enyi viongozi huko mnakoelekea sio!!!! hivi nchi yetu ipo katika hali hiyo ya kuhitaji jeshi la ulinzi kusimamia uchaguzi? my godess!!! had it been in Congo DRC or Afighan or Somali, it would at least make sense lakini Tanzania!!?? no no no no!!!! it stinks!! something fishy is under way!!! my take: wanataka utakapofika muda wa kuchakachua, raia wema waogope kudai/kufuatilia ushindi wao at Poll Stations!!!!

Shimbo huko ndio kuleta vurugu sasa!!!
 
Note: JWTZ, Police.....hawana chama! acheni wafanye kazi yao kama walivyoagizwa!
 
Note: JWTZ, Police.....hawana chama! acheni wafanye kazi yao kama walivyoagizwa!



usisemw hawana chama,always wanatumikia chama kilichopo madarakani coz ndo waajiri wao then from there the simple answer wanatumikia ccm in every way so hapo nadhani jibu umelipata mkuu
 
Heeee!!!

Ina maana NEC wameshindwa kufanya hii kazi?!!! Nchi hii sheria zinavujwa waziwazi tu, and no one cares! Wengine wananyimwa haki yako ya kupiga kura, kila mtu amekaa kimya!!! Jeshi kazi yake kulinda mipaka ya nchi, sasa wameingia kwenye ulinzi wa ndani, no one says anything!!!

Haya mambo yataleta shida in future!!!
 
Jeshi la Ulinzi na Usalama - JWTZ. Katiba inasemaje kuhusiana na JWTZ. Kwa nini lijihusishe na masuala ya kisiasa.

Nadhani huyu Shimbo atakuwa ametumwa, na Jeshi likishaanza kujiingiza kwenye siasa, ndio hapo tamaa ya kushika dola inapoanza.
 
Note: JWTZ, Police.....hawana chama! acheni wafanye kazi yao kama walivyoagizwa!

Nani anawaagiza? je, malengo ya kuanzishwa kwa JWTZ kuna hata moja la kushirikiana na tume ya uchaguzi visiwani au bara kusambaza vifaa vya kupigia kura?
 
Heeee!!!

Ina maana NEC wameshindwa kufanya hii kazi?!!! Nchi hii sheria zinavujwa waziwazi tu, and no one cares! Wengine wananyimwa haki yako ya kupiga kura, kila mtu amekaa kimya!!!

NEC inahamasisha watu wajitokeze kupiga kura . Imetumia fedha nyingi sana, muda n.k Ni serikali hii hii imewazuia wanafunzi wasipige kura kwa kufanya calculated timing ili 31/10/2010 wasiwe vyuoni ambako walijiandikisha. Hii ni number kubwa ya wapiga kura ..elfu sitini 60,000. Kweli hii inawezekana tu Tanzania. Wenzetu hata wakiwa nje ya nchi zao wanapiga kura. Huu ni uvunjifu wa haki ya msingi ya hao wanafunzi ya kupiga kura. Mbaya kabisa . CCM kwendaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Je, ni sahihi kwa vifaa vya kupigia kura kusambazwa na JWTZ? Kama Lt. Gen. Shimbo ndio anatishia namna hii, hivyo vifaa vitakapofika kwenye vituo vya kupigia kura tutakuwa na imani navyo kweli?

Hivi hii ni kweli imetokea au inapangwa kufanyika hivyo?....Mkuu iweke vizuri tujue imetamkwa na nani au ni kwa maamuzi gani jambo hilo limefikiwa!...Vinginevyo sasa itaonekana wazi kuwa nia ni kutisha raia!
 
Sijawahi kusikia kitu kama hicho, hivi hali ni mabaya kiasi hiki hadi JWTZ wasambaze hayo mabox? Shimbo naona ameamua kuja na yake. Halafu tangu nizaliwe sijawahi kusikia mnadhimu mkuu wa jeshi akicomment mambo ya siasa kama alivyofanya huyu Shimbo au hicho cheo hakikuwepo? Time will tell na msishangae baada ya Mwamunyange atakuja huyu kuchukua madaraka!
 
Note: JWTZ, Police.....hawana chama! acheni wafanye kazi yao kama walivyoagizwa!

Nani kakudanganya kuwa hawana chama? Fuatilia mkuu uone, kuna makada wa chama ambao ni ma JWTZ tena si wastaafu, wako kazini bado!
 
Note: JWTZ, Police.....hawana chama! acheni wafanye kazi yao kama walivyoagizwa!

Kumbuka jinsi wanajeshi walivyokuwa wakihamishiwa Zanzibar chaguzi zilizopita kumdhibiti Maalim Seif.

Upuuzi huo wanauleta tena bara mwaka huu, kwani miaka ya nyuma ni nani alikuwa anasambaza masanduku na makaratasi ya kura?
 
Abdallahaman shimbo asituletee udini ndani ya jeshiiii.Kamati yao ni;
  • MRISHO KIKWETE ,
  • YUSUF MAKAMBA,
  • ABDLAHAMNA KINANA,
  • RIDHIWANI KIWETE,
  • MIRAJI KIKWETE
  • SALAMA KIKWETE,
  • SAIDI MWEMA,
  • SOFIA SIMBA,
 
Zanzibar wemeshazoea jeshi kusambaza visanduku vya kura. Hata wakati wa kuandikisha wapiga kura si mliwaona majeshi kule pemba na vifaru au hamuangali chanel ten nyinyi?

Jamani eee pemba haopwi jeshi wala polisi kwanini huku tanganyika tunaogopa jeshi? Tukiwa wamoja na ukweli hata jeshi linasalim amri kwa raia.
 
Abdallahaman shimbo asituletee udini ndani ya jeshiiii.Kamati yao ni;

  • MRISHO KIKWETE ,
  • YUSUF MAKAMBA,
  • ABDLAHAMNA KINANA,
  • RIDHIWANI KIWETE,
  • MIRAJI KIKWETE
  • SALAMA KIKWETE,
  • SAIDI MWEMA,
  • SOFIA SIMBA,
Kuwepo kwake yeye katika nafasi hiyo ndio udini? au kunajambo jengine! hicho unacho dai kukemea ndichi kinacho kusumbua.
 
Ubabe tuu na udhalilishaji wa jeshi of all the things jeshi lasambaza mabox?
 
Back
Top Bottom