Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Nimezungumza na jamaa mmoja ambae yupo kisiwani unguja ameniambia kuwa tume ya uchaguzi ZEC imeahidi kutoa matokeo ifikapo saa kumi alasiri leo. Amenieleza kuwa kwa majumuisho ya kura kwenye vituo vyote inaonyesha Maalim Seif Shariff wa CUF ameshinda na wana wasiwasi kuwa kuna hila za kutaka kubadilisha matokeo na kumtangaza Dr Sheni mshindi. Amenihabarisha pia pia kuwa kuna ujumbe mzito zanzibar mzee mwinyi na mkapa wapo zanzibar na kuwa jana usiku JK alienda huko.
juu ya yote amenihakikishia kuwa watakufa na mtu safari hii ikiwa kura zao zitachezewa.
I will update you once I get feed back from him.
juu ya yote amenihakikishia kuwa watakufa na mtu safari hii ikiwa kura zao zitachezewa.
I will update you once I get feed back from him.