Kelela
Senior Member
- Nov 7, 2020
- 186
- 269
Habari za leo wadau,
Naomba kufahamu hawa watu wanaoweka alama za zebra (wapita kwa miguu) barabarani.
Maana katika eneo ninaloishi hakuna zebra cross barabarani na magari huwa yanapita kwa kasi sana maana hakuna zebra cross wala matuta.
Hili limepelekea watu (watoto, vijana, wazee) kuvuka barabara kwa kukikmbiakimbia kitu ambacho sio salama.
Naomba kujua wahusika ili niwafikishie changamoto hii tuliyonayo. AU kama wapo humu naomba hata address na contact zao.
Naomba kufahamu hawa watu wanaoweka alama za zebra (wapita kwa miguu) barabarani.
Maana katika eneo ninaloishi hakuna zebra cross barabarani na magari huwa yanapita kwa kasi sana maana hakuna zebra cross wala matuta.
Hili limepelekea watu (watoto, vijana, wazee) kuvuka barabara kwa kukikmbiakimbia kitu ambacho sio salama.
Naomba kujua wahusika ili niwafikishie changamoto hii tuliyonayo. AU kama wapo humu naomba hata address na contact zao.