KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Naomba kuuliza labda tv yangu huwa haitoi sauti vizuri.
Siku izi inapofikia sehemu hii, huwa masanja anatamka neno ambalo linakua interfered na pop sound flan ivi.
Mi huwa nasikia *****NINA. yaani neno la mwanzo alisikiki vizuri, nasikia "nina zako".
Ivi hilo sio tusi kweli, kwanini likatishwe?
Siku izi inapofikia sehemu hii, huwa masanja anatamka neno ambalo linakua interfered na pop sound flan ivi.
Mi huwa nasikia *****NINA. yaani neno la mwanzo alisikiki vizuri, nasikia "nina zako".
Ivi hilo sio tusi kweli, kwanini likatishwe?