Kwa wanaofuatilia,
naomba kufahamu, wale jamaa(ze comedy ea tv) wanaendelea na kipindi au imekuwaje?
Nakumbuka kile kipindi wakiwa wanatafuta washiriki mambo yalikuwa hot kwelikweli
maana waliamua kuweka ratiba moja na akina Masanja.
Nimejaribu kufuatilia lakini siwaoni hewani akina Bambo.
Kama kuna anayefahamu, naomba anifahamishe.
naomba kufahamu, wale jamaa(ze comedy ea tv) wanaendelea na kipindi au imekuwaje?
Nakumbuka kile kipindi wakiwa wanatafuta washiriki mambo yalikuwa hot kwelikweli
maana waliamua kuweka ratiba moja na akina Masanja.
Nimejaribu kufuatilia lakini siwaoni hewani akina Bambo.
Kama kuna anayefahamu, naomba anifahamishe.