Ze Comedy Watinga Bungeni

Paparazi Muwazi

JF-Expert Member
Dec 23, 2007
310
79
Ile sintomfahamu kati ya Ze Comedy na EATV imetinga bungeni kupitia mbunge wa viti Maalum CHADEMA Mama Suzan Lyimo. Waziri amesema kuna mzozo kati ya hatimiliki na hatishiriki. Waziri amebakiza suala hilo kwa COSOTA kuamua

PM
 
si nilisikia wamekwenda mahakamani, sasa huyo waziri amepata wapi mamlaka ya kulizungumzia suala hilo nje ya mahakama?
 
Ile sintomfahamu kati ya Ze Comedy na EATV imetinga bungeni kupitia mbunge wa viti Maalum CHADEMA Mama Suzan Lyimo. Waziri amesema kuna mzozo kati ya hatimiliki na hatishiriki. Waziri amebakiza suala hilo kwa COSOTA kuamua

PM

Sasa amewaachiaje Cosota kuamua wakati walishaamua kwa upande wa mengi,watakuwa fair.Lililobaki hapo labda mahakama tu
 
Hawa COSATA si walishaamua, na wakawatwika mzigo vijana wa Ze comedi kama vile hawana haki yakumiliki Ze comedi, Sasa wataamua nini kipya. Kuna kipindi nilipata wasiwasi kwamba suala hili litakuja kuwa lakisiasa zaidi, sasa limefika pahala pake, bungeni....sasa tusipo angalia tutarudi kulekule.

Sounds too comedy anyway
 
Ile sintomfahamu kati ya Ze Comedy na EATV imetinga bungeni kupitia mbunge wa viti Maalum CHADEMA Mama Suzan Lyimo. Waziri amesema kuna mzozo kati ya hatimiliki na hatishiriki. Waziri amebakiza suala hilo kwa COSOTA kuamua

PM

Huko bungeni kwani hawakumwona waziri wa habari,Utamaduni na Michezo?nadhani ndo mhusika mkuu.Lakini naye atawashauri sheria lazima ifuatwe ktk kutatua huo mzozo.
Hawa watasumbuka sana kama hawatatafuta hukumu ya kisheria,wasitegemee kuwa EATV watawaonea huruma.That's bizinesi,u minimaizi cost and maksimaizi profiti.
 
hata huko mahakamani kupata haki yao itachukua muda mahakama zetu hizi bila kesi kuchukua miaka wanaona bado hawajafanya kazi. mi nawashauri hawa vijana wakae na ETV pamoja na TBC meza moja wakubaliane kama kuna mahali wakosea waombe radhi wasione aibu safari ya kufanikiwa kimaisha ina mambo mengi. njia wanazotaka kupita zinaweza kuwagharimu muda na malipo juu bila sababu za msingi.
 
Bunge letu ambalo ni comedy linajadili comedy ya Ze Comedy.

What a twist
 
nilipoona kichwa cha habari nikamini kuwa ze comedi wameenda bungeni kumbe mada yao inazunguzwa bungenin?
 
Wanayumbishwa hawa. Mara nimesikia asubuhi ya leo kwamba wanakwenda mahakamani, na sasa wameibukia bungeni kupitia mbunge. Now which is which?
Anyway! kufanikiwa kwao kutakuja kiburi kikiwapungukia na kukubali kuwa wanyenyekevu.
Ujeuri na kiburi havitawafikisha mbali ila watakufa kifo cha mende au nzi anapokutana na ile X-PEL au DOOM. Sijui zaidi ni ipi katika kumaliza upesi.
 
Jamani, ze comedy ni mali ya EATV. Kama hao vijana ni wabunifu si waanzishe kikundi na waendeshe kipindi tofauti????!!!!

Na hao wabunge kama hawana cha kufanya huko Dom, basi nao waanzishe ze comedy yao halafu waamue wanataka irushwe EATV au TBC1. Vinginevyo itakuwa ni kupoteza muda wa Taifa bure!!!!
 
Back
Top Bottom