Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,592
- 1,599
Kwa wapenzi wa wa tasnia ya vichekesho, kuna komedi ya TBC na ile ambayo imeanza pale EATV, kwa mtazamo wangu akina Joti wa TBC wameshaanz kupwaya ukilinganisha na hawa jamaa ambao wamekuja kwa kasipale EATV, akina Mtanga na Bambo. Hawa jamaa wa EATV wanachapa kazi si mchezo. WanaJF mnaonaje?