Dk 90 zimeisha, ni matuta sasasijui kwanini watanganyika wamekuwa wabaguzi hivi..sasa kwanini hawatupi maupdate ya mechi ya uamsho.. vs Burundi..
Dk 90 zimeisha wakiwa 0-0Kwa wale mnaofuatilia mechi kati ya Zanzibar na Burundi naombeni mnijuze jamani nini kinaendelea hadi sasa?
Nadri Canavaro kakosa penati
Mambo ndo hivyo: KILIMANJARO STAZ VS ZANZIBA HEROS nusu fainali.Asante sana kwa taarifa endelea kutujuza mkuu
Zanzibar imeshinda kwa penat 6 kwa 5 za burundi.
Mambo ndo hivyo: KILIMANJARO STAZ VS ZANZIBA HEROS nusu fainali.
Angalau tuna uhakika na kuingia fainali, ie ni Kili au Zenj!