Zawadi za TiGo...

Mbonea

JF-Expert Member
Jul 14, 2009
640
20
Wadau ningependa mnifahamishe jinsi ya kujishindia zawadi zitolewazo na TiGo... Je, hizo fedha za ushindi huwa kwenye vocha au baada ya kuingiza salio ndiyo utapata ujumbe wa kuonesha umeshinda?.

Na ni kuanzia vocha ya shilingi ngapi ndy unaweza kupata na fasi ya kujishindia?.
 
vocha mpya za tigo zina sehemu imeandikwa zawadi ambayo imefichwa, kwa hiyo unaikwangua hapo ukikuta kuna zawadi mfano sh 10000 kunakuwa na tarakimu 12 ambazo unaziingiza kwa kuanza na *104*.......#
 
Wadau ningependa mnifahamishe jinsi ya kujishindia zawadi zitolewazo na TiGo... Je, hizo fedha za ushindi huwa kwenye vocha au baada ya kuingiza salio ndiyo utapata ujumbe wa kuonesha umeshinda?.

Na ni kuanzia vocha ya shilingi ngapi ndy unaweza kupata na fasi ya kujishindia?.
....jana nilinunua vocha ya elfu tano nikapata zawadi ya tsh 100....
 
tangu zinatangazwa mimi hata sijaona vocha imeandikwa zawadi na ninarecharge almost daily si chini ya 5000,au kuna za zamani na mpya mtaani?
 
Back
Top Bottom