Mbonea
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 640
- 20
Wadau ningependa mnifahamishe jinsi ya kujishindia zawadi zitolewazo na TiGo... Je, hizo fedha za ushindi huwa kwenye vocha au baada ya kuingiza salio ndiyo utapata ujumbe wa kuonesha umeshinda?.
Na ni kuanzia vocha ya shilingi ngapi ndy unaweza kupata na fasi ya kujishindia?.
Na ni kuanzia vocha ya shilingi ngapi ndy unaweza kupata na fasi ya kujishindia?.