Kiranja Mkuu JF-Expert Member Feb 18, 2010 4,059 4,055 Nov 22, 2012 Thread starter #2 Khanga ya Mombasa
Jeji JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,975 371 Nov 22, 2012 #4 madukani zipo kweli hizi?? au ngomani tu??
jamiif JF-Expert Member Apr 30, 2012 2,413 990 Nov 22, 2012 #5 Preta kazi kwako mwaya! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mwanamayu JF-Expert Member May 7, 2010 11,342 6,467 Nov 22, 2012 #8 Sasa hiyo zawadi ni mkwaju au khanga?
Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,879 1,125 Nov 22, 2012 #9 Hizo j hazipo mke wangu anayo.
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,627 154,982 Nov 22, 2012 #10 Jeji said: madukani zipo kweli hizi?? au ngomani tu?? Click to expand... ngomani wanaagiza spesho oda kutoka KTM MBAGALA
Jeji said: madukani zipo kweli hizi?? au ngomani tu?? Click to expand... ngomani wanaagiza spesho oda kutoka KTM MBAGALA
cacico JF-Expert Member Mar 27, 2012 8,362 7,797 Nov 22, 2012 #11 kupendwa mbona raha!? Preta waitwa huku!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Nov 22, 2012 #12 uswahili wetu haujapitiliza mipaka kweli? teh teh teh...
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,723 Nov 22, 2012 #13 Preta ana unyanyapaa na Khanga!...Ukiona kavaa ujue Mama mkwe wake yupo stendi anawasili kwake! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Nov 22, 2012 #14 cacico said: kupendwa mbona raha!? Preta waitwa huku!! Click to expand... waweza msaidia CACICO!:becky:
cacico said: kupendwa mbona raha!? Preta waitwa huku!! Click to expand... waweza msaidia CACICO!:becky:
Z Zero One Two JF-Expert Member Sep 16, 2007 9,347 3,023 Nov 22, 2012 #15 DUH! jamaa subiri kue na kabaridi ndio uka mtieeeee
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Nov 22, 2012 #17 PakaJimmy said: Preta ana unyanyapaa na Khanga!...Ukiona kavaa ujue Mama mkwe wake yupo stendi anawasili kwake! Click to expand... Afu ndo anavaa yenye maandishi hayo!?? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
PakaJimmy said: Preta ana unyanyapaa na Khanga!...Ukiona kavaa ujue Mama mkwe wake yupo stendi anawasili kwake! Click to expand... Afu ndo anavaa yenye maandishi hayo!??
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Nov 22, 2012 #18 Kivumah said: ........Ugomvi huo!! Click to expand... We Kivumah ndo tabia gani kutuDAIMONDIa hapa jukwaani!??? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kivumah said: ........Ugomvi huo!! Click to expand... We Kivumah ndo tabia gani kutuDAIMONDIa hapa jukwaani!???
marejesho JF-Expert Member Jan 6, 2011 6,635 3,655 Nov 22, 2012 #19 Zinatumika zaidi kwenye kitchen party
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Nov 22, 2012 #20 Kiranja Mkuu said: Click to expand... Kuna watu wana bahati mwaego....