Temporary01
JF-Expert Member
- May 12, 2011
- 260
- 70
kaka jibu hoja, nini maana ya Zawadi ya Upanga? usikurupuke
kweli wewe ni janga kuu, kuna hoja gani ya kujibiwa hapa?
Kasome tamaduni za oman ujue maana ya upanga then urudi tena.
Endeleeni kupandikiza chuki, siku likitibuka hamna atakae salimika.
Mnawalaumu waislam juwa wanalalamika kila kitu kumbe na nyie ni walewale.