KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
habari za weekendi.
sasa naona muda unayoyma kwa Jk,sijui kama 2010 atakanyaga tena ile nyumba ya zamani kule magogoni.kwa hiyo wana JF,kama ilivyo desturi yeu,tuna takiwa kumpa zawadi za kuinua mgongo marais wetu,ili wakishaondoka ikulu,hizo zawadi zitawasaidiakwenye maisha yao ya uzeeni,kwa hiyo,JK tutampaa nini?nakumbuka mkapa alipewa kadhahabu,ka sime,ka mkuki,ngombe na km.sis wana JF tutamwandalia nini?anzeni kumega mifuko yenu sasa.wakati ndio huu...
sasa naona muda unayoyma kwa Jk,sijui kama 2010 atakanyaga tena ile nyumba ya zamani kule magogoni.kwa hiyo wana JF,kama ilivyo desturi yeu,tuna takiwa kumpa zawadi za kuinua mgongo marais wetu,ili wakishaondoka ikulu,hizo zawadi zitawasaidiakwenye maisha yao ya uzeeni,kwa hiyo,JK tutampaa nini?nakumbuka mkapa alipewa kadhahabu,ka sime,ka mkuki,ngombe na km.sis wana JF tutamwandalia nini?anzeni kumega mifuko yenu sasa.wakati ndio huu...