Cheef Baroka
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 491
- 1,000
Wakuu nina rafiki yangu wa kike ambaye namkubali sana but hatuna mahusiano yakimapenzi (japo some time nakuwa na hisia naye but najizuwia mana ukiendekeza mihemko ya kimwili waweza mtongoza hadi mama yako)
So leo kutokana na dharura za kikazi hatukuweza kusherehekea IDDI pamoja. Kanilaumu sana why sijamualika pilau wakati j pili anasafiri ko Nataka aende bila kula pilau? nikamwambia usjali ntakufanyia special surprise kesho hutojutia kukosa pilau la leo.
So Wajumbe naombeni ushauri nimnunulie nini ambacho hata uko aendeko hatokuja kunisahau??
Zawadi / kitu hicho kiwe na sifa zifuatazo.
1: Kiwe cha gharama nafuu.
2: kinachoweza mpa furaha.
3: kitakachomfanya ajue kweli nampenda.
4: ambacho kitamfanya a enjoy kuwa rafiki yangu.
5: ambacho kitaacha alama katika akili yake hata siku tukija gombana awe akikumbuka ananimiss.
So leo kutokana na dharura za kikazi hatukuweza kusherehekea IDDI pamoja. Kanilaumu sana why sijamualika pilau wakati j pili anasafiri ko Nataka aende bila kula pilau? nikamwambia usjali ntakufanyia special surprise kesho hutojutia kukosa pilau la leo.
So Wajumbe naombeni ushauri nimnunulie nini ambacho hata uko aendeko hatokuja kunisahau??
Zawadi / kitu hicho kiwe na sifa zifuatazo.
1: Kiwe cha gharama nafuu.
2: kinachoweza mpa furaha.
3: kitakachomfanya ajue kweli nampenda.
4: ambacho kitamfanya a enjoy kuwa rafiki yangu.
5: ambacho kitaacha alama katika akili yake hata siku tukija gombana awe akikumbuka ananimiss.