Mtoto pendwa kaamua, utamfanyaje? Kwanza Ile ahadi ya awali ya kila mmoja kupewa m10 haijatekeleza.Mabeki, Viungo, wawinga, na mafowadi kwenye mechi na Burundi hawakustahili pongezi pia kama za kipa wetu Juma Kaseja?
Mpira wa miguu sio kama draft au table tennis. Zawadi isiporatibiwa Kwa ustadi inaweza kugeuka sumu kali (detromental) kwenye jambo linalokisudiwaWanastahili wote.
Yy kaanza na kaseja we fuata na Gadiel.
Mm nije na Nyoni na mwingine achague mtu wake hivi kwanini sisi maskini ni walalamishi sana?
Mkuu hajasema kwa ajili ya kufuzu kasema nyota wake wa mmchezo.Mpira wa miguu sio kama draft au table tennis. Zawadi isiporatibiwa Kwa ustadi inaweza kugeuka sumu kali (detromental) kwenye jambo linalokisudiwa
Kama wale wapigaji wetu wa penalties wangekosa wote kufunga bado man of the match angepewa hizo 10,000,000? Je, kama Samata asingefunga lile bao na Burundi wakapata bao 1 je, man of the match angekuwa Kaseja?Mkuu hajasema kwa ajili ya kufuzu kasema nyota wake wa mmchezo.
Asa kuna man of the match wawili
Daah na mimi nimeshtuka sana mkuu.Ulivyo andika heading kidogo imefanya nimepata mshtuko, na nimejikuta kama mzazi nina wahurumia wazazi wako pia kwa hasara walio ipata
Kwani mkuu mfano mfungaji bora asipopewa pasi atafunga magoli?Kama wale wapigaji wetu wa penalties wangekosa wote kufunga bado man of the match angepewa hizo 10,000,000?
Usiandike tyuu bana ,andika tuMabeki, Viungo, wawinga, na mafowadi kwenye mechi na Burundi hawakustahili pongezi pia kama za kipa wetu Juma Kaseja?
zawadi, kanuni na vigezo lazima vifahamike kwa wote kabla ya game kuanza ili kuwe na equal chance kwa kila mmoja kuipigania na kuipata. Aina ya zawadi na vigezo haviwezi kuwa mfukoni kwa mtu.Zawadi ya Timu nzima,imepitia kwa nahodha.(Sina uhakika though)
zawadi, kanuni na vigezo lazima vifahamike kwa wote kabla ya game kuanza ili kuwe na equal chance kwa kila mmoja kuipigania na kuipata. Aina ya zawadi na vigezo haviwezi kuwa mfukoni kwa mtu.
Wewe umewapa wachezaji gani zawadi mbali ya kaseja ?Mabeki, Viungo, wawinga, na mafowadi kwenye mechi na Burundi hawakustahili pongezi pia kama za kipa wetu Juma Kaseja?