Zari The Bosslady kahamia kwa Diamond na watoto wake wote watano?

ZionTZ

JF-Expert Member
Oct 6, 2009
1,283
538
Baada ya msiba zari ameonekana akipost yupo kwenye mjengo wao wa SA na familia yake yote, Mungu awape nguvu machungu ya msiba yapite aanze kupambana kuijenga familia yake.

diamond safi sana kwa kuonyesha ukomavu wa kuruhusu mkeo kukaaa na watoto wake wote.

 
Baada ya msiba zari ameonekana akipost yupo kwenye mjengo wao wa SA na familia yake yote, Mungu awape nguvu machungu ya msiba yapite aanze kupambana kuijenga familia yake.

diamond safi sana kwa kuonyesha ukomavu wa kuruhusu mkeo kukaaa na watoto wake wote.



Hiyo Kampuni ya Maziwa ya Mtindi ya Zari kama inavyoonekana pichani hapo ni yake au ameyabetua tu kutangaza Soko?
 
Wewe bwege haya maneno huwa unayatoa wapi?.unaonekana umeishi uswahilini sana.

Nimezaliwa Tandale, nimekulia Tandika na sasa naishi Mwananyamala Mkuu. Mwenzangu Wewe wa wapi Obey au Masaki au Mikocheni au Upanga au Kijitonyama au Makumbusho au Kawe Beach au Mbezi Beach? Nina hamu sana nami siku moja nije nikae tu huko Ushuani Kwako ili nitoe huu Ushamba wangu wa Kubobea / Kutukuka kuishi huku Uswahilini / Uswazinyo.
 
Sawa kwani kuna shida gani Mwenyezi Mungu alishapanga iwe hivyo na alishapanga kuwa Daimond ipo siku atawalea hao watoto na ndio Mwenyezi Mungu alimkutanisha na Zari ili mpango wa Allah ukamilike hapo.unajua sisi binaadamu tumewekewa pazia hatuyajui ya mbeleni kwetu .laiti tungeyajua wala hakuna mtu angekubaliana na Mipango ya Mungu acheni Mungu aitwe Mungu hizo porojo tu.da watu bana .
 
Khaa! Kulea watoto wa kambo ni kazi sana. Mie pamoja na ulokole wangu, siwezi kulea mtoto wa baba mwingine aliyezaa na mke wangu. Nina wivu hatari. Ninaweza hata kukanyonga katoto ka kambo nipate kesi.
Kama Diamond kaweza hili, ninampa hongera sana. Huu ni moyo wa pekee...
 
Khaa! Kulea watoto wa kambo ni kazi sana. Mie pamoja na ulokole wangu, siwezi kulea mtoto wa baba mwingine aliyezaa na mke wangu. Nina wivu hatari. Ninaweza hata kukanyonga katoto ka kambo nipate kesi.
Kama Diamond kaweza hili, ninampa hongera sana. Huu ni moyo wa pekee...

Ndio jinsi ulivyofundishwa na mchungaji wako?
 
Back
Top Bottom