ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
Baada ya msiba zari ameonekana akipost yupo kwenye mjengo wao wa SA na familia yake yote, Mungu awape nguvu machungu ya msiba yapite aanze kupambana kuijenga familia yake.
diamond safi sana kwa kuonyesha ukomavu wa kuruhusu mkeo kukaaa na watoto wake wote.
diamond safi sana kwa kuonyesha ukomavu wa kuruhusu mkeo kukaaa na watoto wake wote.