Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
Sasa babe unakuwa unanikosea na hata Relief Mirzska unamkosea pia ni vizuri ukamuomba radhiSio hasira somo, ,wivu !! Yaani unamchekea hadi unalegea kabisa; aaaaargh!! Mi sipendi bhana!
Sasa babe unakuwa unanikosea na hata Relief Mirzska unamkosea pia ni vizuri ukamuomba radhiSio hasira somo, ,wivu !! Yaani unamchekea hadi unalegea kabisa; aaaaargh!! Mi sipendi bhana!
Ndo maana nakupenda shemeji yangu; lakini eti my baby Khantwe anakufanyia wivu!Asante shemeji 😂😂😂😂
We love you more
Mkuu hahahahahaah.Yaani message ambayo mimi imeniuma kutoka kwa huyu Relief Mirzska wewe ndo umeifurahia kweli kweli hadi unatamani umkumbatie!! Mi sipendi hujui! Ya wasu hatujayamaliza halafu unayazusha mengine!
Anafeli sana huyu shemelaSasa babe unakuwa unanikosea na hata Relief Mirzska unamkosea pia ni vizuri ukamuomba radhi
Anafeli sana aiseeAnafeli sana huyu shemela
Umeonaje?Uzi umeuisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unajitia hutaki nikiongea nae ila ofa yake unafurahia, hatutaenda
Bhana mi sijasema usiongee nae; nimesema usiwe unamchekea hadi unajilegeza kabisa bhana!! Kwani baby huwezi kucheka huku ukiwa umegangamala bhana?!Unajitia hutaki nikiongea nae ila ofa yake unafurahia, hatutaenda
😂 🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baniani mbaya
😀😀😀😀😀😀😀😀😀Bhana mi sijasema usiongee nae; nimesema usiwe unamchekea hadi unajilegeza kabisa bhana!! Kwani baby huwezi kucheka huku ukiwa umegangamala bhana?!
Kiatu chake anakitaka
Baniani mbaya
basi sawa mpenziBhana mi sijasema usiongee nae; nimesema usiwe unamchekea hadi unajilegeza kabisa bhana!! Kwani baby huwezi kucheka huku ukiwa umegangamala bhana?!
Hatari sanaaaaKiatu chake anakitaka
Ye mwenyewe anamwekea wivu hata mdogo wake joanah , seuze mie!Anafeli sana huyu shemela
Kumbe?? Basi ugomvi na uishe, ili usiwe na wivu huyo mdogo mtu mnipe mimiYe mwenyewe anamwekea wivu hata mdogo wake joanah , seuze mie!
Haya my baby Khantwe, umesikia?!Kumbe?? Basi ugomvi na uishe, ili usiwe na wivu huyo mdogo mtu mnipe mimi
According according according pheeeewww ushuzi wa mange,