Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,823
Tulikuwa tukinangwa Sana wadada wa kitz ...kisa zari ..(tulionekana sio wife material)
Leo na yeye amekuwa mswahili hatari mitusi Kama yote...
Ndio watu mjue binadamu yoyote yule akiwa na uhakika na maisha yake anakuwa mstaarabu ila Mambo yakigeuka anaweza kufanya Mambo ya hovyo....
Hata yule mke wa A.Y. anaonekana mpole bonge la mwanamke ni kwa sababu mumewe ametulia ila akianza michepuko na Mambo ya hovyo hovyo atacharuka Kama asha ngedere!
Leo na yeye amekuwa mswahili hatari mitusi Kama yote...
Ndio watu mjue binadamu yoyote yule akiwa na uhakika na maisha yake anakuwa mstaarabu ila Mambo yakigeuka anaweza kufanya Mambo ya hovyo....
Hata yule mke wa A.Y. anaonekana mpole bonge la mwanamke ni kwa sababu mumewe ametulia ila akianza michepuko na Mambo ya hovyo hovyo atacharuka Kama asha ngedere!