Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
The
The guy is earing the whole world at the price of losing his own soul.Mwanamama mrembo na mjasiliamali Zari the Bosslady aliyezaa watoto 2 na Diamond Platnumz amemlipua mzazi huyo mwenzie baada ya kutangaza kulipia makazi kata 500 wakati hajua watoto wake wamekula Nini wala wamelala vipi.
Zari anamwambia Diamond huwezi furahisha dunia wakati wakwako hawana furaha na wewe wala kuwajali.
View attachment 1430809
Sent using Jamii Forums mobile app