bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,091
- 19,968
Naomba tuishie hapa , sina jinsi ya kukuelezea zaidi ya hapo bahati mbaya hua sijui kulazimisha mtu ani elewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakristo wote wana majina ya kikristo ni utaratibu ambao upo kwenye madhebu yote ya kikristo.
Nipatie jina lake la kikristo.
Sent using Jamii Forums mobile app