Zari achaguliwa kuwa msimamizi mkuu wa mali za marehemu Ivan Ssemwanga

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Kamati ya watu 4 yachaguliwa kusimamia mali za marehemu Ivan Ssemwanga mpaka watoto wake watakapofikisha miaka 18.

Zari Hassan ndiye msimamizi mkuu ambaye ametakiwa kusimamia shule za Ivan zilizoko Afrika Kusini kikiwemo chuo cha Brooklyn na pia nyumba mbili za Ivan zilizoko Sandton na Pretoria. Pia ametakiwa aishi na watoto wake wote kwenye nyumba moja na nyingine ipangishwe.

Wengine waliochaguliwa ni;
  • Ritah Ssemwanga(Dada wa Ivan)
  • George Ssemwanga ambae ni kaka mkubwa wa Ivan
  • Lawrence Muyanja(Maarufu kama King Lawrence)
 
Kamati ya watu 4 yachaguliwa kusimamia mali za marehemu Ivan Ssemwanga mpaka watoto wake watakapofikisha miaka 18.

Zari Hassan ndiye msimamizi mkuu ambaye ametakiwa kusimamia shule za Ivan zilizoko Afrika Kusini kikiwemo chuo cha Brooklyn na pia nyumba mbili za Ivan zilizoko Sandton na Pretoria. Pia ametakiwa aishi na watoto wake wote kwenye nyumba moja na nyingine ipangishwe.

Wengine waliochaguliwa ni;
  • Ritah Ssemwanga(Dada wa Ivan)
  • George Ssemwanga ambae ni kaka mkubwa wa Ivan
  • Lawrence Muyanja(Maarufu kama King Lawrence)
KING LAWRENCE NI NDUGU YA IVAN NI RAFIKI TU
 
Kifo..

Mali sio zako ukifa huku watu watazigombania kama vile tai wanavyogombania mzoga na watatumbua kwa style yeyote ile iwe nzuri au mbaya

Mke ,ukifa kuna watu watajimilikisha na kutumbua pesa zako yani mke amchukue na pesa ulizotumia nguvu kuzitafuta azitumbue


Watoto watakusahasau tu na kuwa used na baba mpya

Mama nakupenda sana ningekuwa na uwezo naandika wosia mali ziwe allocated sehemu nyingine tofauti na kiasi kwa wazazi na wao ndio wasimamie huduma za watoto
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom