The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Nadhani Mond ajitafakari ikibidi aachie ngazi kama alivyofanya Prof. Muhongo
Najua inauma sana lakini hakuna namna imeshafahamika kwamba Zari yuko kimaslahi
Hata akijitafakari, ameshanasa ujue hata akitangulia mbele ya haki (Mungu aepushie mbali) bado huyu Mama atatakiwa kudai urithi wa watoto wake.
Kumbe hii vosa fasta ilikua magoli ya mbaaaali ya mwanamama.
Inamaana asopoishi kwenye mojawapo ya hizo nyumba anapoteza sifa ya kuwa msimamizi mkuu wa mirathi?