Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Pia ametakiwa aishi na watoto wake wote kwenye nyumba moja na nyingine ipangishweKamati ya watu 4 yachaguliwa kusimamia mali za marehemu Ivan Ssemwanga mpaka watoto wake watakapofikisha miaka 18.
Zari Hassan ndiye msimamizi mkuu ambaye ametakiwa kusimamia shule za Ivan zilizoko Afrika Kusini kikiwemo chuo cha Brooklyn na pia nyumba mbili za Ivan zilizoko Sandton na Pretoria. Pia ametakiwa aishi na watoto wake wote kwenye nyumba moja na nyingine ipangishwe.
Wengine waliochaguliwa ni;
- Ritah Ssemwanga(Dada wa Ivan)
- George Ssemwanga ambae ni kaka mkubwa wa Ivan
- Lawrence Muyanja(Maarufu kama King Lawrence)
nilishasema Kitendo cha Zari kuwa busy msibani Dayamondi aijipange Upya........ Wenye hulka ya Kuzaa na Mwanamke ambaye amezaa na Mwanaume Mwingine wapate fundisho
Asante.