Zari achaguliwa kuwa msimamizi mkuu wa mali za marehemu Ivan Ssemwanga

Kamati ya watu 4 yachaguliwa kusimamia mali za marehemu Ivan Ssemwanga mpaka watoto wake watakapofikisha miaka 18.

Zari Hassan ndiye msimamizi mkuu ambaye ametakiwa kusimamia shule za Ivan zilizoko Afrika Kusini kikiwemo chuo cha Brooklyn na pia nyumba mbili za Ivan zilizoko Sandton na Pretoria. Pia ametakiwa aishi na watoto wake wote kwenye nyumba moja na nyingine ipangishwe.

Wengine waliochaguliwa ni;
  • Ritah Ssemwanga(Dada wa Ivan)
  • George Ssemwanga ambae ni kaka mkubwa wa Ivan
  • Lawrence Muyanja(Maarufu kama King Lawrence)
Pia ametakiwa aishi na watoto wake wote kwenye nyumba moja na nyingine ipangishwe

nilishasema Kitendo cha Zari kuwa busy msibani Dayamondi aijipange Upya........ Wenye hulka ya Kuzaa na Mwanamke ambaye amezaa na Mwanaume Mwingine wapate fundisho

Asante.
 
Pia ametakiwa aishi na watoto wake wote kwenye nyumba moja na nyingine ipangishwe

nilishasema Kitendo cha Zari kuwa busy msibani Dayamondi aijipange Upya........ Wenye hulka ya Kuzaa na Mwanamke ambaye amezaa na Mwanaume Mwingine wapate fundisho

Asante.
Kwani kitu gani kimeharibika mkuu ...kumbuka dai na zari sio wanandoa so watoto wakikaa kwa zari sioni shida
 
Naona aliambiwa kama anataka awe msimamizi basi akaishi na watoto kwenye nyumba ya marehemu baba yao, mtego huo ina maana diamond akienda kuishi hapo Zari ananyanganywa mandate. Chezea pesa wewe. Diamond lile hekalu ulilonunua south zari alipokudanyanya nyumba wanayoishi ni ya kupanga, Ivan hana nyumba. Leo Zari kaumbuka. Ndo maana Diamond leo kampost mama yake na kusema ni his real woman of his Life.
 
Back
Top Bottom