kasopa
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 302
- 56
Alichokifanya Maalim Seif Sharif siku ya J,tatu1/11/2010 ni nusu ya kupigania jihadi ya
nchi yake.
Papatu papatu zilizokuwa zikiendelea na maneno makali yakutupiana na kutishana ndani ya chamber Bwawani hatimae Dr Shein aliangukia uchindi wa kutangaziwa kuwa Rais wa watu wa Zanzibar kwa ushindi mdogo waliopishana na mpinzani wake Maalim Seif Sharif Hamad wa asilimia 1.
Kilichojiri ndani ya ukumbi huo wa chamber baina ya Mh Maalim Seif na Mh Amani Abedi Karume na Dr Shein ni kusherewa kwa matangazo ya urais ya tarehe ya J,pili ya tarehe 31/10/2010 kusherewecha kutangaziwa.
Bada ya mchujo mkali na usanii uliokuwa ukifanyika na wakuu wa wilaya kwa maelekezo ya usalama wa taifa duru ya mwanzo ilionyecha Maalim Seif anaongaza kwa asilimia 70 mchujo wa pili asilimia 62 watatu asilimia 52.
Huku wakati ukipotea na tume kusubiri madokeo ya urais Mh Amani Abedi Karume alilazimika kuamrisha tume ilete matokeo haraka na aloshinda atangaziwe.
Bada ya hali kuonekana imekuwa ngumu matokeo yaliopelekwa Bwawani bado Maalim Seif anaongoza kwa asilimia 52 ndipo ilipo lazimishwa tume ya uchaguzi Zec stopishe matangazo na watu kuweko Chamber.
huku watu wa kiongezeka nje ya ukumbi wa Bwawani polisi walilazimika kuweka kizuwizi ili watu wasiweze kuzidi kuongezeka.
Bada ya tarifa hio Mh Amani alitowa amri ya kuondoshewe vizuwizi vya watu kutoku kuruhusiwa kuingia Bwawani na kutowa onyo kali kwa maofisa asije akanyukuliwa mtu yoyote na Badae akaonekana Mh Amani akiwapungia mkono watu ili kutowa mkono wake wa baraka kwa wazanzibar walio kushanyika nje ya ukumbi wa Bwawani bila fujo huku hali ya usiri wa ndani ikiwachangaza waliokuweko nje na muda kupotea bila madangazo ya rais kutangaziwa.
kilichojiri ndani ni maneno makali na viticho bana ya Mh Maalim Seif Sharif Hamad na Mzee Ruhsa Ali Hassan Mwinyi akiwa na ujumbe wake wa Mh Benjamen Mkapa na Mkuu wa majeshi ya Tanzania pamoja na maofisa wa usalama wa taifa.
Maalim Seif alinukuliwa akisema ili kuepucha fujo na umwagikaji damu naiomba tume ya Zec initangaze kwa asilimia hizo hizo 52 kuwa rais wa watu wa Zanzibar na ridhaa ya wazanzibar waliopiga kura kunichaguwa kuwa rais wao na kuwaongoza.
Kwa upande wa Mh Shein hilo halikuwa gumu kwake alikubali alikuwa tayari kutia sign ya kukubali kushindwa na lakini alizazimika mishwa kukataa na kumuahidi kuwa kwa hali yoyote ile watamtangazia kuwa rais wa Zanzibar kwa asilimia 50.1 na malimm asilimia 49.1 za matokeo waliokuwa nayo usalama wa taifa kukabidhiwa Tume itangaze.
bada ya hapo ni pata shika nguo kuchanika ni maneno makali yalio zidi kuendelea bana ya Maalim na Mzee Ruhsa Maalim alisuputu kusema ikiwa watanganyika wamekupiga kibao basi wazanzibar watakupiga risasa, dipo alipo sema watangazie watu wako nje waondoke ili tutangaze mtu wetu na tutamtangaza kwa hali yoyote itakavyo kuwa.
Ndio Maalim wakashauriana na wenzake walio kuwepo hapo na ili kuinusuru Serekali ya kitaifa na kuwanusuru wazanzibar waloko nje ndio akaonekana kushiwa na nguvu na kutoka na kuwambia watu warudi majumbani kwa kunusuru umwagaji damu na zamira mbaya ilio kusudiwa yakuvuruga amani na utulivu uliopo pamaja na mchakato mzima wa serekali ya kitaifa ambayo misingi yake bado ni imara.
Lamwincho ni kumpigu Mh Amani na Tume yake alio iamini sana kuwa mwaka huu itafanya haki kwa mwenye pasentegi kupewa haki hio lakini mambo yalibadilika na wakuu wa tume kutumbukiziwa pesa thro
nchi yake.
Papatu papatu zilizokuwa zikiendelea na maneno makali yakutupiana na kutishana ndani ya chamber Bwawani hatimae Dr Shein aliangukia uchindi wa kutangaziwa kuwa Rais wa watu wa Zanzibar kwa ushindi mdogo waliopishana na mpinzani wake Maalim Seif Sharif Hamad wa asilimia 1.
Kilichojiri ndani ya ukumbi huo wa chamber baina ya Mh Maalim Seif na Mh Amani Abedi Karume na Dr Shein ni kusherewa kwa matangazo ya urais ya tarehe ya J,pili ya tarehe 31/10/2010 kusherewecha kutangaziwa.
Bada ya mchujo mkali na usanii uliokuwa ukifanyika na wakuu wa wilaya kwa maelekezo ya usalama wa taifa duru ya mwanzo ilionyecha Maalim Seif anaongaza kwa asilimia 70 mchujo wa pili asilimia 62 watatu asilimia 52.
Huku wakati ukipotea na tume kusubiri madokeo ya urais Mh Amani Abedi Karume alilazimika kuamrisha tume ilete matokeo haraka na aloshinda atangaziwe.
Bada ya hali kuonekana imekuwa ngumu matokeo yaliopelekwa Bwawani bado Maalim Seif anaongoza kwa asilimia 52 ndipo ilipo lazimishwa tume ya uchaguzi Zec stopishe matangazo na watu kuweko Chamber.
huku watu wa kiongezeka nje ya ukumbi wa Bwawani polisi walilazimika kuweka kizuwizi ili watu wasiweze kuzidi kuongezeka.
Bada ya tarifa hio Mh Amani alitowa amri ya kuondoshewe vizuwizi vya watu kutoku kuruhusiwa kuingia Bwawani na kutowa onyo kali kwa maofisa asije akanyukuliwa mtu yoyote na Badae akaonekana Mh Amani akiwapungia mkono watu ili kutowa mkono wake wa baraka kwa wazanzibar walio kushanyika nje ya ukumbi wa Bwawani bila fujo huku hali ya usiri wa ndani ikiwachangaza waliokuweko nje na muda kupotea bila madangazo ya rais kutangaziwa.
kilichojiri ndani ni maneno makali na viticho bana ya Mh Maalim Seif Sharif Hamad na Mzee Ruhsa Ali Hassan Mwinyi akiwa na ujumbe wake wa Mh Benjamen Mkapa na Mkuu wa majeshi ya Tanzania pamoja na maofisa wa usalama wa taifa.
Maalim Seif alinukuliwa akisema ili kuepucha fujo na umwagikaji damu naiomba tume ya Zec initangaze kwa asilimia hizo hizo 52 kuwa rais wa watu wa Zanzibar na ridhaa ya wazanzibar waliopiga kura kunichaguwa kuwa rais wao na kuwaongoza.
Kwa upande wa Mh Shein hilo halikuwa gumu kwake alikubali alikuwa tayari kutia sign ya kukubali kushindwa na lakini alizazimika mishwa kukataa na kumuahidi kuwa kwa hali yoyote ile watamtangazia kuwa rais wa Zanzibar kwa asilimia 50.1 na malimm asilimia 49.1 za matokeo waliokuwa nayo usalama wa taifa kukabidhiwa Tume itangaze.
bada ya hapo ni pata shika nguo kuchanika ni maneno makali yalio zidi kuendelea bana ya Maalim na Mzee Ruhsa Maalim alisuputu kusema ikiwa watanganyika wamekupiga kibao basi wazanzibar watakupiga risasa, dipo alipo sema watangazie watu wako nje waondoke ili tutangaze mtu wetu na tutamtangaza kwa hali yoyote itakavyo kuwa.
Ndio Maalim wakashauriana na wenzake walio kuwepo hapo na ili kuinusuru Serekali ya kitaifa na kuwanusuru wazanzibar waloko nje ndio akaonekana kushiwa na nguvu na kutoka na kuwambia watu warudi majumbani kwa kunusuru umwagaji damu na zamira mbaya ilio kusudiwa yakuvuruga amani na utulivu uliopo pamaja na mchakato mzima wa serekali ya kitaifa ambayo misingi yake bado ni imara.
Lamwincho ni kumpigu Mh Amani na Tume yake alio iamini sana kuwa mwaka huu itafanya haki kwa mwenye pasentegi kupewa haki hio lakini mambo yalibadilika na wakuu wa tume kutumbukiziwa pesa thro